CCM inaomba msaada wa urus kusaidiwa kwenye maswala ya kuisaidi serikali isiangushwe, kwa mujibu wa taarifa za kijasusi urus imekuwa ikizisaidia viongozi wa Afrika kuwalinda wasiondolewe madarakani kwa malipo ya kupewa rasilimali.
bunge limeona mbali, imekuwa majeshi yote magereza, polisi, wananchi na zimamoto plus uhamiaji na uokoaji lazima umepitia JKT jambo ambalo si la mhimu. JKT ni kitengo tu ama idara chini ya JWTZ sasa kwanini kiwe ndo pass mark ya ajira kwa majeshi takiribani yote. JKT haliwezi kutumika kama...
wasukuma wanakoo zao na msingi wa hzo koo ni uadui. Wasukuma wa kaskazini (sukuma) hawa ni wale wa mwanza na maeneo ya shinyanga, wasukuma wa kusini (dakama) hawa ndiyo wanyamwezi wasukuma wa mashariki (keya) hawa ni wanyatunzu yaani wasukuma wa bariadi, maswa na maeneo ya kwimba mkoani mwanza...
nakubaliana na kingwangala, tatizo watanzania hawataki mtu radical, asiye badirika, ukitoa msimamo tofauti na waliozoea wanasema unasema kwa sababu haupo kwenye mfumo. Nyerere alifuta vyama vingi lakini baadae akaupigia chapuo mfumo wa vyama vingi je ni kwasababu hakuwa rais? mbona hakutukana...
pascal MAYALA, Hanga aliuawa na Karume kwa idhini ya Nyerere CCM kama mnavyosema hawa ni waasisi wa chama basi haikwepi dhambi hii. Kasimu Hanga mwana mapinduzi na wazir na balozi kuuawa baada tu ya Nyerere kumkabidhi karume kinyume na ombi lake la kutopelekwa zanziba baada ya kurudishwa nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.