Hayo huwa mavitabu wanasoma wazungu .kuna muafrika anakosa marafiki?? Mm nilienda Minneapolis kwa mshikaji wangu aliuza madin akaita Wana kama wawili sasa nkakaa mwezi nkawa daily nakunywa baa moja mtaani asee wazungu walinikubali balaa nkawa naandaa ma house party mpaka majiran walikuwa...
Mm nimejikita paragraph ya mwisho .kwa mujibu wangu
-Jamaa ni MTU yeyote ambae mnajuana na mahusiano yenu mema kwa kilichowakitanisha.ila hamna bond ya uwajibikaji.mfano hawezi kukuuliza kaka mbona skuiz hunipikii simu
-Rafiki ni Jamaa ambae amejenga bond ya kimahusiano ya kiuwajibikaj.ukiona...
Hakuna rafiki asiyefaa ila ww ndo umeshindwa Jua kiwango cha kuweka mipaka .huwezi nambia kuana marafiki wawili wenye level Sawa wakati ninwanadamu wawili tofauti.
Pia elewa rafiki huwa sio mama yako.sio ndugu yako.sio maiti wako wa Siri saizi na sababu kujua .sasa rafiki yako wa kuahangilia...
Then kaweke kiwanja hakuna anaweza wekeza kwenye Ur intergrity wakati kakujua barabarani .kwa maelezo yako mtaji unaweza ukopa ukapata faida yote ww.huyu alikuwa anatafuna wazo la biashara sio patner .inamaana Huo ujuzi wa kuzungusha hela unaweza pata mil 1.5 kwa mwezi angeupata kijana mwenye...
Unaona dunian 70% ya dhahabu imezagaa ni iko baharini au wamevaa shingoni serikali zote zinayo asilimia 30 na mzigo wa kuchimba ambao geological association ya marekan wanaamin haijachimbwa ni 20% Tu ya yote ilowahi kuwepo duniani .kifupi baada ya Miaka 200 hakutajwa na Mtu anachimba dhahabu..so...
Si kweli nyingi inatumika kwenye jewelry na viwandani Jua hakuna laptop a computer isona dhahabu resever iliyopo duniani hawahihitaji ni ndogo .walipokuja walikuwa na technology kubwa kupitiliza walifanyisha wanadamu kazi hasa kwa miaka zaidi ya 10000 ndo wajenzi wa mapyramid kama ni wali...
Pia bado vilele viko Aina kama 100
1.kuna anajua kusugua mpaka kumkojoza (orgasm)
2.kuna kumtoa maji(hii asilimia 90)ya wanaume hawajui.utasikia demu wangu Hana maji .tuletee wahuni mmoja Alizaa watoto 3 nilimtoa nusu Lita atadhangaa
3.kuna orgasm ya kuliwa jicho.jiulize kwa nn wanawake...
Kama huna shughuli nyingine yeyote nikimaanisha unaweza simamia mwenyewe 100% .Fanya biashara ya kununua magari number d yasiyomaliza mafuta kama ist.vits.paso .unayakarabati unaenda uza mkoani .hukosi mil 2 Hadi 5 kila mwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.