Juzi tu raia walimwua askari polisi mmoja huko Tabora na sauti za kikubwa zikasikika na walifika eneo la tukio bila kuchelewa na kutoa kauli kali sana. Kabla ya hapo mashamba ya wawekezaji (Wakoloni wa kisasa) yalichomwa moto kule Mbulu na serikali ilituma mawaziri sita kwenda kushughulikia...
Naibu waziri wa mambo ya ndani ndugu Juma Kagasheki amekuwa akisema kwenye vyombo vya habari kuwa kuna mmbunge wa chama fulani tena kutoka nje ya mkoa wa Mara ambaye yuko mkoani Mara na ndiye chanzo cha vurugu hizo kwani amekuwa akichochea raia kukataa kuwazika ndugu zao.
Yeye akiwa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.