Ipo nyumba Mazimbu..Ina rooms 3 (One Masters), Jiko, Seating, Dinning Room, ina fence, full tiles bei 300k kwa mwezi
Gari linafika na ina geti zuri:
Vp utahitaji???????????????? Check mi out
Jamann...
Mie mwenzenu umri unakaribia kunitupa...sasa nahitaji wife wa kuishi nae ..
Yeyote mwenye contacts za msichana mzuri, tall, midweight (60-70kgs), any natural colour, educated ani PM...
Cna tatizo kuhusu background yake, mana najua ni historia ntamkubali kama alivyo...
Location...
Wana JF
Napenda kuwataarifu nimefanikiwa kufungua SHOWROOM ya kuuza magari pale maeneo ya Magomeni, ipo barabarani kabisa...
Kwa yeyote anayeuza gari anaeza kuni-PM tukakubaliana terms za kupark kwenye showroom....Gari zinatakiwa kuwa katika hali nzuri ili kutengeneza reputation ya showroom...
Bus limeingia Nov 2011 halijatumika Tanzania kabisa, limepakiwa kwenye showroom moja maeneo ya Shekilango..
Serious buyers drop message....Starting Price 60m...Bargainable
Year: 1997, Milleage: 72,000kms, Transmission: Manual Transmission
Engine Type: 1HZ, Seating Capacity: 29 Passengers
Babalao: Mimi nina soko la vyuma chakavu nje ya nchi..Nadhani bado una network ya market..Je unaweza kusource in large quatity tukawa tuna-export???? Nadhani itakuwa profitable zaidi.
Charges za customs taxes on importation zote za magari kutoka Zanzibar to Tanganyika hua zafanywa on differential tax method..hapa namaanisha ukinunua gari zanzibar ambalo lililipiwa kodi ya Tshs. 2m na kwa muda ambapo unalodge documents lipate sajili Tanganyika kama kodi stahili ya hilo gari ni...
Classical: Asili ya mtu ina-mshape kuwa na tabia fulani. Nina fanya kazi na mama mmoja ambaye ni MPARE, hua mara kwa mara anakuwa na ugomvi na mumewe kiasi mie ndo nimekuwa rafiki yake mana hua ananieleza vyote. Cku moja akaniambia hua anawaambia watoto wake wa kike kuwa wakiolewa wafanya mbinu...
Nyumba Kubwa: Hivi out of 100 couples zilizokuwa famous chuoni kwenu ngapi wamefanikiwa mpaka kuoana, hapa nadhani weza kuta moja au mbili...Wajua wewe unazungumzia maisha ya kwenye BONGO movies mana vijana wanapomaliza chuo wanakuwa na wakati mwingine tena kutafta kazi...Mmoja anaeza pata kazi...
Asha: Kuhusu kujua malezi mtu kalelewa kidogo ni ngumu sana siku hizi...maaana kwa siye ambao tayari tupo kwenye labour market muda mwingi twatumia kufanya kazi za MWAJIRI na muda kidogo unabaki kwa ajili ya kufanya huo uchunguzi wa maisha mtu alolelewa...na mbaya zaidi mtu kalelewa BUSH mjini...
Okada: Mpaka nawasilisha mada hii kuna jambo limenikuta hapa kati..nilikutana na binti mmoja ambaye nilimpenda sana yeye ni Mnyakyusa..cha kushangaza mara tu nilipomuapproach hata hatujaenda far kwenye mahusiano akanza kunitumia message..
Mara oooh dada yangu anataka kukuona, mara mama anakuja...
Wadau..
Nipo mbioni kutafuta msichana ambaye kama mambo yakienda vizuri tufunge naye pingu za maisha.
Kuna vigezo vichache ninavyo ila naombeni munisaidie kujua kama aina ya kabila nalo ni jambo muhimu kuzingatia wakati natafta mwenza.
Nawasilisha
Kuhusu Zito kuwa mbinafsi kidogo naona si kweli. Wajua mpaka muda budget ya upinzani inasomwa tayari watu wengi watakuwa aware na ishu ya Zito kukataa malipo ya sitting allowance. Sasa hapo kambi ya upinzani nayo kama team itakapokataa awareness kwa public inaeza kuwa mara tatu au zaidi na...
Wadau
Majuzi nlipita mahali nikasikia wimbo wa NAUZA KURA YANGU, hivi hatuwezi sambaza wimbo huu kila KONA ya Tanzania watu wakajua vitu vya msingi pale mgombea anapotaka kununua KURA zao?
Embu pateni kusikiliza afu tuanze kusambaza wimbo huu kote Tanzania towards 2015 mana tunaelekea pabaya...
Msheku: Malipo ya ankara mteja anayolipa kwa mwezi huwa hayatozwi kodi ya VAT mana Parent Company ndo anaraise invoice moja kwa moja kwa mteja. Collection zinafanywa kwenye their offshore accounts.
Hapa nchini inayolipa kodi ya mapato ni subsidiary company yao ambayo ndo inauza ving'amuzi vya...
Tatizo hapa si mamlaka ya kodi TRA kushindwa kusimamia kodi bali watungaji washeria za nchi. Naomba kidogo nitoe uelewa wangu jinsi DSTV wanavyooperate in Tanzania na jinsi sheria zilivyokuwa na loopholes. DSTV wao wanatoa huduma kupitia digital systems ambazo zinasource matangazo toka South...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.