Ndo maana nimekueleza nina experience na sijapita shule moja tangu enzi za Rungwe mchanganyiko,Loleza , Green Acres, Bukongo na baadhi ya vyuo unavyovifahamuu mwalimu wa kiume haingii bweni la kike na wa kike haingii bweni la kiume na wanafunzi wakiwa wana mmudu matroni na zamu ni ya mwalimu wa...
Kiduku ni muonekano wake ila suala kubakwa bwenini hiyo fix ya kiwango cha rami hizo shule nimesoma tumekutana na walimu wanoko kuliko hata huyo Jimmy unaesema mnoko lakini haruhusiwi hata kidogo kwenda bweni la wasichana hata awe mkuu wa shule bila kibali.
Kama umesoma shule ya bweni utajua ni namna gani binti alivyo muongo muongo
Mwalimu wa kiume bweni la wasichana hiyo labda pandahill tu.Sijawahi kuona O-level, A-level vyuo vya kati nina experince zaidi ya miaka 10 sijawahi kuona mwalimu wa kiume bweni la wasichana.Akienda lazima awe na kibali...
Kama umesoma shule ya bweni utajua ni namna gani binti alivyo muongo muongo
Mwalimu wa kiume bweni la wasichana hiyo labda pandahill tu.Sijawahi kuona O-level, A-level vyuo vya kati nina experince zaidi ya miaka 10 sijawahi kuona mwalimu wa kiume bweni la wasichana.Akienda lazima awe na kibali...
Mmhh shule za bweni unajua zinavyoendeshwa hasa za kike mwalimu wa kiume haruhusiwi kuingia bwenini kuna matron hata wanafunzi wakienda kula matroni ndiye hubaki kuangalia utaratibu waliobaki bado bwenini waliorudi na nani bado hajarudi so fikiria mwalimu kwa uwezo wake wa kufikiri kweli aingie...
Kuna dogo ana 4yrs ana matusi utadhan kahitimu chuo.Mtoto awaambie wagen **** nyie ntawatia dudu mama anafurahiii hahaaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo mwanangu alivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.