Search results

  1. jombezi

    Naomba mnisaidie tofauti ya maisha ya Rwanda na Tanzania

    Kwa nini huwezi kuwa mkulima mkuu?
  2. jombezi

    Kuna uhalali wa Prof. Kitila Mkumbo kupinga Waraka wa Maaskofu?.

    Nilifanya biashara ya kuagiza gari nje na Jacobo,alinidhurumu milioni 20 hadi wa leo
  3. jombezi

    Kuna uhalali wa Prof. Kitila Mkumbo kupinga Waraka wa Maaskofu?.

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  4. jombezi

    Ajali Morogoro: Mrithi wa Villa Park Makambako afariki

    Cha ajabu ni nini kwa mfano
  5. jombezi

    Ajali Morogoro: Mrithi wa Villa Park Makambako afariki

    Umeongea jambo la msingi sana,lkn kwa uvivu wa wa Tz wakufikiri watakubishia hadi kesho,cha msingi wapika majungu,nikuwaacha waamini vile wanavyoamini,huwezi kuwabadilisha haraka kitu walicholishwa,na kuaminishwa toka wakiwa matumboni mwa mama zao
  6. jombezi

    Ushauri: Mwanangu wa kiume uume (mashine) haisimami, mama yake kashauriwa amuonyeshe nyeti kumtibia

    Nimeyapenda sana majibu yako,nimeziona busara ndani yako,barikiwa sana Mtumishi
  7. jombezi

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Kwa uzoefu wako kipimo sahihi bila kutumia vibaya aridhi ni mita ngapi mti hadi mti?
  8. jombezi

    Kwa maswali na majibu kwa masuala ya kilimo tu

    Miti yangu ya miparachichi baadhi huanza kunyauka hadi inspukutisha majani yote na kubaki kijifito tu,baadaye huanza kuotesha majani upya,na mengine haioteshi tena,nini ufumbuzi wa changamoto hii?
  9. jombezi

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Asante sana comredi,umenitia nguvu za kusonga mbele, barikiwa sana kwa ufafanuzi mzuri, wewe mi mtu mhimu sana kwangu nitazidi kukusumbua usipojali
  10. jombezi

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Niko na takriba Ni ekari 20 za miparachichi ambazo nimeanza kupanda kuanzia mwaka jana na mwaka huu shughuli zinaendelea,tamaa ya moyo wangu ni kuwa pia na shamba la mikorosho ktk maeneo Morogoro au Iringa. Lkn ipo hofu kidogo juu ya haya mazao ambayo soko lake asilimia mia ni la nje,je kinini...
  11. jombezi

    Dada una sura nzurii.....

    Nimejikuta nimesoma page zote,si kwa majibu yako mazuri,sio tu mzuri ht akili ni kubwa
  12. jombezi

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Asante sana mkubwa kwa jitihada zako za kutuelimisha na kuhamasisha ukulima huu wa korosho. Samahani nina swali ambalo lipo nje kidogo na mada yako ya leo,ni hivi kuna taarifa kuwa sababu ya korosho yetu kuwa na soko ni kwa kuwa inatoka msimu ambao duniani kote hawavuni. Je, ni habari za...
  13. jombezi

    Sikuamini nilivyofika Njombe, kumbe Tanzania hii kuna sehemu kama hizi?

    Naam binafsi nimefika hadi kwa mzee Gadau,na mstaafu
  14. jombezi

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  15. jombezi

    Tujenge shule yetu, walimu 10 wanahitajika

    hongera mwalimu kwa mawazo yako chanya,simamia wazo lako kwa gharama yoyote,naamini utapata vikwazo vya kukatishwa tamaa,usigeuke nyuma... mimi sio mwalimu,but ninao ndugu zangu ambao ni walimu na nipo tayari kuwalipia hata wawili ili mradi ziwekwe taratibu zilizowazi... napengine kwa wale...
Back
Top Bottom