Wakati vita inaanza kule Iraq March 06 2023 Us alipeleka wanajeshi 150,000 na Washirika wake kwa umoja wao walipeleka wanajeshi 23,000 (Idadi kubwa ilitolewa na UK na Idadi ndogo zaidi ilitolewa na Australia)
Kwa mantiki hiyo huwezi kusema US anategemea washirika ili kupigana vita, ila ukweli...
Form tuliyo nayo ni kubwa.
Sprit waliyo nayo wachezaji ni kubwa sana.
Camavinga, Kroos na Valverde wanachakaza dimba kupita kiasi.
Vini, Jude na Rodryigo wanauwasha moto.
Carvajal na Tchoumen ni wachezaji wazuri.
Ni vizuri tukampata Davies kama 1st choice mbele ya Mendy.
Lunini kaziba...
Mkuu
Umeona juzi kati hapo jamaa kwa kutumia B-1 zao wamepiga target 85 huko Iraq na Syria kwa direct flight kutoka USA to hizo nchi tena kwa precision kubwa sana?
Ni taifa gani kwa sasa linaweza fanya hii mission ya kupiga targets kwenye nchi 4 tofauti kwa usiku mmoja kwa direct flights toka...
Tukio ambalo yeye na Pepe walimfanyia faulo kwa pamoja bwana Messi.
Goli alilowafunga Atletico Madrid dakika ya 92 kwenye fainali ya Uefa ni rekodi nzuri pia.
Kabla ya kufunga goli hilo Atletico walikua wanaongoza kwa goli 1 bila na zilibaki dakika 3 tu watangazwe kua mabingwa wa ulaya...
Ngoja nikupe mfano mmoja.
Kwenye vita ya Iraq troops zilikua hivi……..
US- 400,000+
UK - 45,000+
Australia - 2000+
Spain - 1000+
Poland - 200+
Hapo utasema US alitegemea troops za NATO 100%??
Hatuwapendi US ila linapokuja suala la uwezo kijeshi na modern warfare inabidi tukubali tu kwamba jamaa wapo kwenye level zao peke yao na uzoefu mkubwa sana.
Katika era hizi sio Russia wala China inayoweza kupigana vita 2 kwa wakati mmoja kwa muda mrefu na operations zingine za kijeshi...
Mbowe angekua mlaini kama ambavyo hua mnataka watu waamini hivyo sidhani kama angekua hivyo leo.
Mbatia, Lipumba, Mrema na Zitto wapo wapi ukilinganisha na Mbowe?
Incase tutakua na 1st eleven hii, tutapata motokeo mapema tu.
Uwepo wa Camavinga katikati utavuruga plans za City.
Fede kucheza right winger itatusadia kwenye transition za kuattack na kudefense simultaneously.
Press Conference: Real Madrid
Carlo Ancelotti spoke in the press room at the Etihad Stadium on the eve of the clash with Manchester City in the return leg of the Champions League semi-finals (9pm CET): “My plan is the same as always: to try to get the best out of our team both individually and...
Wakianza Militao na Rudiger itapendeza sana.
Alaba akae bench just in case.
Hivi kwanini faulo nyingi anapiga Alaba wakati Asensio/Rodyrigo/Kroos wana accuracy kubwa kuliko yeye, hua sielewi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.