Picha hii ilipigwa mwaka 2013 katika mbuga ya wanyama ya Maasai Mara, nchini Kenya na mpiga picha za wanyama (wildlife photographer) Alison Buttigieg, na ilishinda kuwa picha bora ya mwaka katika tuzo za habari huko Australia.
Swala huyu anayesulubiwa na chui hawa, ni Mama wa watoto wawili...
Habari wana JF,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kuna kisa nimekisoma mtandani kutoka pande za naija(Nigeria) mnamo mwaka 1991 kuna mchungaji maarufu kwa jina la Daniel Abodunrin aliingia kwenye zoo ya Simba ili atengeze historia kama ya daniel wa kwenye Biblia
Bahati mbaya au maksudi...
Jumapili Usiku/Sunday Night !! Jumapili Usiku ndiyo wakati sahihi wa kuipanga week yako nzima iliyo usoni mwako !! Pata mda usiku ukiwa umetulia jumapili......andika malengo yako unayotaka kuyakamilisha ndani ya week husika.
Jiwekee walau kila siku hakikisha una vitu vitatu umekamilisha au...
Angalia Bill zako, angalia ndoto zako, angalia malengo yako kwa kias gani umeyatimiza, angalia kwenye hali yako ya sasa iko vipi, angalia akaunti yako, jiulize wikiendi una haki ya kupumzika ???! Nice weekend wapendwa
Baada ya kufanya utafiti na kuridhika nao. Sasa tumeamua kuutoa mbele ya Watanzania! Kama hujui hesabu hasa Probability sasa iko hivi, probability ni uwezekano wa kitu fulani kutokea sasa leo tunaenda kuzungumzia uwezekano wa mtu kuolewa au kuoa hasahasa nchini Tanzania.
*WANAWAKE*
1. Ukiwa...
Maisha ya mwanaume duniani bila hela ni sawa na jehanamu.
Mimi sijui kwa wengine, lakini kuishi duniani kwa mwanaume bila hela hata upendwe vipi na mwanamke mwenye pesa, kuna mateso ya kiume lazima uyapate. Unless kama huna ego ya mwanaume. Lakini kama ni mwanaume kabisa.....na unaishi na mke...
Nina wasiwasi kuwa ukikubali kuwa huwezi ku-make tena duniani kwa kukubali kuwa mambo ni magumu sana au sina mtaji na visingizio vingi.
Na baada ya hapo ukaweka matumaini yote huko mbinguni kwa kudhani kuwa huko mbinguni mambo yatakuwa mteremko na Raha mstarehe.
Nina wasiwasi kuwa huko juu...
Kabla haujaanza wiki yako Fanya kitu kinaitwa "Week Mapping":Hii inajumlisha kufanya mambo yafuatayo:
1) Kuamua ni mambo gani makubwa ambayo unakusudia Kuyatimiza kwa wiki hii na uyaandike(usiyaweke kichwani tu).
2) Utachukua hatua gani/utafanya nini. Andika orodha ya mambo ambayo utayafanya...
Habari za muda huu wapendwa, naomba mnisaidie mnaojua kiswahili vizuri, kuna seem kwenye wimbo mpya wa alikiba anasema kapewa majina mengi, wanamuita kipusa, na mimi naelewa maana ya kipusa ni mwanamke mrembo/mzuri, naomba mnijuze zaidi maana ya kipusa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.