jamani wana f\jf, naombeni msaada jinsi ya kuapply kazi form utumishi mana napata utata, mfano kazi ina waajiri wengi ie wizara aya fedha, wizara ya maji n.k, je nkiapply tume ya ajira mojakwamoja watajua naaply kwa mwajiri yupi? au nafanyaje? mfano hizi post za juzijuzi kazi ya assistanjt...
[Jana kuna mtu kanipigia cm akasema st john wametoa short list yao,hebu nisaidieni ipo gazeti gani wana JF]
vipi ndugu yangu, umelipa hilo gazebo?, kama unmelipata hebu tujuze ili tulitafute, ni gazeti gani?
jamani wana jf, naomba kama kuna mtu mwenye zile post za training apportunity at TCAA za gazeti la mwananchi tarehe 10 aniwekee, deadline ni 21/10 naombeni msaada ni post gani?
mi ninavyojua hizo PUTS zinategemeana na miaka mtu aliyokaaa kazini, kuna kitu kinaitwa nochi, kama ni new employee utapata nochi ya kwanza yaani PUTS 12 nochi ya kwanza, muda unavyoongezeka unapanda unaingia nochi nyingine up to mazmum level, so . so usishangae level moja as TA lakini salary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.