Mkuu
Kwanza unatakiwa kubuni jina ambalo halifanani na jina la kampuni nyingine. Waweza kujaribu kufanya official search( njia hii ni gharama ya sh 20,000-BRELA FEES).
Ukipata jina then unatakiwa kuandaa MEMORANDUM and ARTICLES OF ASSOCIATION (unaweza kuwaona wanasheria au business consultants...
Mkuu naomba kuchangia kama ifuatavyo
Katika usajili wa kampuni ambayo ni limited by shares kuna Memorandum of Association na Articles od Association (Memorandum and Articles of Association) . Ss katika hiyo Memorandum unaweza kuorodhesha biashara mbali mbali ambazo unafanya na unaweza kufanya...
Naomba nikujibu maswali yako kama ifuatavyo
1. Kufngua kampuni
Limited company inafunguliwa kwa kuwa na Memorandum na Articles of Association. Ss katika Memorandum hapo utaona ofisi za kampuni zinasajiliwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lakini eneo la ofisi hata nyumbani kwako waweza...
Soma vizuri tangazo
Kazi hy sio ya kuzunguka bali kuna majengo maalum ambayo yameunganishwa na waya za fiber kwa ajili ya internet. Hivyo unakuwa na sehemu kama kibanda ndani ya jengo mahala kama karibu na lift mfano. Hivyo watu wanaoingia au kutoka ktk jengo husika unaongea nao na kuwapa...
Upo sahihi
Lakini kumbuka kuna hawa wanalipwa kwa mwezi mishahara ya kiasi cha sh 200k, 250k, 300k na hata 350k ambayo gawanya kwa siku 26 utapata jibu
Hivyo inategemea na mtazamo wako
Huyu anaeidharau 12,000/= na kusema ndogo, wapo wengine hata hiyo kubwa sana wanapata hapa hapa Dar tena kwa kazi ngumu ya kuvuja jasho na kushinda juani.
Wakuu hebu jaribuni kupitia vibarua wanalipwa sh ngapi na inakuwa full time mosi, pili hebu tupitie ratiba ya kazi yenyewe ni masaa kama nane tu tena kwa interval. Kugawa vipeperushi na kumuelezea mtu na tena kuna muda kama una issue zako unaenda kufanya
Anyway, jaribu kuchunguza mtaani watu...
Habari!
Wanahitajika vijana wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya masoko ya muda mfupi wa siku saba na malipo ni kwa siku
Elimu
Kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Kujua kuongea Kiingereza kwa Ufasaha ni lazima
Majukumu
Kuitangaza bidhaa kwa kugawa vipeperushi na kuwapa maelezo wateja juu ya...
Karibu sana
Ofisi zetu zipo Jengo la Mariam Tower, ghorofa ya nne, mtaa wa makutano ya Shaurimoyo na Lindi!
Simu:0659211222
Barua pepe: iconsultbuzness@gmail.com
Mkuu ushauri tu
Kampuni yetu sio madalali wala hatuhitaji kununua au kuwekeza! Lakini kutokana na uzoefu tuliokuwa nao hasa katika masuala haya ya kuuza au kuwekeza katika makampuni kupitia makampuni mengi kuja kupata ushauri
Nakushauri ungeweka japo kwa muhtasari kampuni yenu inafanya shughuli...
Karibu i-business consult kwa ushauri, muongozo, kuandikiwa Mchanganuo, usajili na masuala yote yanayohusiana na biashara yako. Email:iconsultbuzness@gmail.com, hotline: 0659211222/0777777766
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.