Yajayo yanafurahisha nchini Uganda.
Uteuzi wa Kainerubaga Muhoozi umetagazwa leo usiku wa manane. Aliyekuwa mkuu wa majeshi ameteuliwa kuwa waziri wa nchi.
Kuna tetesi nchini Uganda kuwa Rais anamuandaa mwanaye kuwa Rais.
Kabla ya hapo General Muhoozi alikuwa mkuu wa kikosi maalum cha ulinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.