Mmh..siwezi kukutalia moja kwa moja,
ina maana una uwezo wa kupredict tabia ya mwanaume bila kuishi naye???
To me, this has got do with our selfishness, and not being ready to take responsibilities..wanaume pia hawapendi kuzaa na mwanamke mwenye tabia kama ulizo orodhesha hapo juu?
Why are you...
Jamani Huyu R**n ***gs, anafanya nini tena kwenye ulimwengu wa michezo... Hii scandal yake ya TWITTER ni noma.
Naona court injuction imeback fire,
BBC News - Footballer's Twitter disclosure order prompts online action
Maana yalimtokea kama yaliyomkuta Rooney, ila aliwahi mahakamani kulinda...
Hapa ndo unapokosea..Unajua madhara unayoyaleta kwa mtoto, kama hataishi na baba yake (bila sababu ya msingi kama kifo)...
Ndo maana kwenye baadhi ndoa mwanamke akishapata nafasi kiuchumi, ndoa inayumba. You don't 'feel' the need of man...
It is morally wrong
ni kweli... hizo ni ndoto za kufikirika, it is so 'abstract' and 'ideal'..Na sijui una miaka mingapi?? ngoja uyakute yenyewe yenyewe ndipo utajua kwa nini watu wanaachwa na kuachika...
stay tuned
Hakuna any breaking news kutoka AUSTRALIA,JAPAN au CHINA?, maana hawa ndo wa kwanza kuiona tar 21....
Ukute nimebaki mwenyewe tu hapa JF..,
wadau naomba mjibu angalau nijue bado tupo pamoja
This is too dangerous,
why did you marry in the first if you knew you could end up in love-less marriage after sometime??
African countries should not accept these kind of laws, we are still poor. At least in USA, one can afford to live as a single parent and survive well, not so in Tanzania...
Uhuru wenu ndo unawafanya muwatukane 'wabara' (watanganyika)??? Mmesajiliwa kama taaisisi ya kidini au ya kijamii?
Yaani nyie wazanzibari mnajichanganya wenyewe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.