Search results

  1. The hammer

    The White House Is Infested with Roaches and Ants

    Nimejiuliza tu ofisi kubwa vile inaweza kuvamiwa Na wadudu Kama mende. Under Melania Trump, the White House is gradually becoming darker and darker in preparation for her Christmas from hell. But even as the estate starts to look more and more like something out of a horror film, it's not as...
  2. The hammer

    Simba Sport Club: Yanga angekuwa Na fedha Simba kombe mngelisikia!

    Hivi Omog angekuwa Na kikosi Kama cha Yanga ingekuwaje.Omog aende Yanga. MTU anashindwa kuwatumia wachezaji wazuri ni wanini Simba.Ajib kaenda Yanga Na sasa ndo STAR pale Yanga ila Simba alionekana kana kwamba hajui. Niyonzima alivyokuwa Yanga alikuwa kiungo Wa kumuogopa kwa jinsi alivyokuwa...
  3. The hammer

    Wakazi Wa Hawaii Na California kujiandaa Na milipuko ya Nuclear.

    Urusi kalipua kombora LA Topol RS - 12M.California Na Hawaii wanataka kufanya maandalizi ya kuwafunza wananchi wao jinsi ya kujikinga Na mionzi ya Nuclear. Itakumbukwa wiki mbili zilizopita Urusi wamefanya mazoezi makali ya kijeshi wakishirikiana Na Belarus.Sasa naona uvumilivu unaweza...
  4. The hammer

    Sasa tatizo litakuwa kwa Omog

    Msimu uliopita, simba ilimwacha bingwa wa sasa yanga kwa alana 5,wakazipunguza hadi kubaki 2 kisha wakaongeza hadi kufikia alana 7 kama sijakosea. Bahati mbaya nyingine zilipunguzwa hadi kufikia 1 kisha simba ikaongeza tena hadi 5 zaidi ila zilipunguzwa hadi kufikia simba ikawa yenyewe ndo...
  5. The hammer

    Nahitaji vifaranga vya kuku chotara

    Wakuu, nipo Mbeya nahitaji vifaranga wa kuku chotara...je ni wapi wanauza kwa maeneo ya jirani iwe Mbeya mjini, Mbozi, Mbarali au hata Tukuyu na Makambako. Aina gani ya vifaranga hao ni bora kwa ufugaji kwa maana wanakuwa wakubwa na wazito zaidi na hata utagaji. Nashukuru
  6. The hammer

    Hii nchi itakuja kuendela kwa namna gani

    Wadau, hii nchi itaendelea kweli? Mbona naona kuna maigizo mengi sana kuliko uhalisia wa kutafuta hayo maendeleo? Ona, je kuna mipango madhubuti yenye kuzingatia uchumi unaokuwa kwa weledi huko mbeleni? mipango hiyo ni ipi? Je, matatizo ya wananchi yanashughulikiwa kweli kwa moyo wa kuondoa...
  7. The hammer

    Umeshawahi kukutana na chakula usijue wanakulaje?

    Kuna aina nyongi sana za vyakula ambavyo wengine hatujawahi kukutana navyo. Ili kujisitiri na aibu siku ya kukutana navyo tupia picha na maelezo ya kuvitumia. Hii samaki inaliwaje na hayo majani wakuu. Ongezea zako.
  8. The hammer

    Wadaiwa Sugu HESLB msako utakuwa hivi

    Grace period again! ===== Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imewapa siku 30 kuanzia Novemba 14, mwaka huu wadaiwa wake sugu 154,000 kurejesha fedha wanazodaiwa. Vinginevyo, imesema watakamatwa na kulazimishwa kulipa madeni na gharama za kuwasaka. Kwa mujibu wa bodi hiyo...
  9. The hammer

    Ubora na mapungufu ya "First eleven" ya SIMBA Mnyama

    1:Vicent Angban Anaweza kupanga safu yake ya ulinzi vizuri.Ni goalkeeper ambaye hajawahi kupata kashi kashi yoyote ambayo inaweza kumpima uwezo wake.Ingekuwa si uimara wa safu ya ulinzi wa Simba,basi huyu goalkeeper angekuwa ndo kipa mbovu kuliko wote katika msimu wa ligi kuu Tz bara.Kimo chake...
  10. The hammer

    Msaada tafadhali kwa wajuzi

    Habari wakuu! Je naweza kuchimba kisima 1 na kufanya kilimo cha acre 100 kwa kilimo cha mahindi na maharagwe.
  11. The hammer

    Kinywaji gani ukipendacho

    Ni kinywaji gani unavyokunywa unahisi umetengenezewa wewe kwa namna kinavyokuingia kooni kwa ladha yake tamu mdomoni mwako. I see,I like Grand Malta!
  12. The hammer

    Kazi nchi za Kiarabu

    Kuna rafiki yangu anatafuta kazi nchi za kiarabu kama Qatar,UAE n.k.Amesomea IT Canada. Je,naweza pata link ya mashirika ya uhakika yanayohitaji watu/mtu wa IT? Najua kuna wadau hapa wanaweza kunipa link za uhakika.
  13. The hammer

    Ubunifu katika uchoraji 3D

    n
  14. The hammer

    Ugumu wa biashara ni suala la mpito

    Nchi hii ni yetu sote,lazima tuipende! Mambo mengi sana hayaendi sawa kwa kipindi hiki,sijajua kuwa ni suala la mpito tu au ndo la kudumu.Nashindwa kusema ni la mpito kwasababu ya mambo kadhaa yanayofanyika. 1:Leo hii ukienda TRA kukadiriwa kodi kwa biashara mpya,basi unaweza ukajikuta unakata...
  15. The hammer

    Nipe tasfiri tano kwa hii picha

  16. The hammer

    Nani hapa jf ni mlevi kama huyu.

  17. The hammer

    Wakali wa hesabuuu!

    MATHEMATICS EXAM PAPER Time: 2Hrs 30MINS INSTRUCTIONS: ATTEMPT ALL QUESTIONS. ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS. 1. You have dated a girl for 2 years, eventually she drops you for another guy. Calculate the percentage of time wasted. (10 marks) 2. You bought a phone for your girlfriend and she...
  18. The hammer

    Watalii (wageni) zaidi ya elfu nane wakatisha safari zao kutokana na kodi

    Baada ya Bunge la Tanzania kupitisha bajeti iliyoweka kodi ya ongezeko la thamani katika sekta ya utalii, maelfu ya watalii waliokuwa watembelee Tanzania kuanzia Julai mosi mwaka huu wamefuta safari zao na kuzua hofu ya utalii katika Tanzania kuporomoka. Kufikia leo asubuhi kampuni kubwa za...
  19. The hammer

    Naomba kujua bei ya karanga kwenye soko.

    Wadau, Kwa anayefahamu bei ya karanga kwa kg 1 iliyomenywa tayari naomba nijuzwe na soko gani naweza kuuza kama gunia 120.
  20. The hammer

    List of countries with hottest girl

    Kumbe Kenya wametuacha mbali sana.hiyo ndo list; 1: Sweden 2:Brazil 3: USA 4:Japan 5: Russia 6:Italy 7: Poland 8: Philippines 9: England 10: Australia 11: India 12: Germany 13: Colombia 14: Ukraine 15: Canada 16: Mexico 17: Denmark 18: Venezuela 19: China 20: Spain 21: France 22: Romania 23...
Back
Top Bottom