Nimejiuliza tu ofisi kubwa vile inaweza kuvamiwa Na wadudu Kama mende.
Under Melania Trump, the White House is gradually becoming darker and darker in preparation for her Christmas from hell. But even as the estate starts to look more and more like something out of a horror film, it's not as...
Hivi Omog angekuwa Na kikosi Kama cha Yanga ingekuwaje.Omog aende Yanga.
MTU anashindwa kuwatumia wachezaji wazuri ni wanini Simba.Ajib kaenda Yanga Na sasa ndo STAR pale Yanga ila Simba alionekana kana kwamba hajui.
Niyonzima alivyokuwa Yanga alikuwa kiungo Wa kumuogopa kwa jinsi alivyokuwa...
Urusi kalipua kombora LA Topol RS - 12M.California Na Hawaii wanataka kufanya maandalizi ya kuwafunza wananchi wao jinsi ya kujikinga Na mionzi ya Nuclear.
Itakumbukwa wiki mbili zilizopita Urusi wamefanya mazoezi makali ya kijeshi wakishirikiana Na Belarus.Sasa naona uvumilivu unaweza...
Msimu uliopita, simba ilimwacha bingwa wa sasa yanga kwa alana 5,wakazipunguza hadi kubaki 2 kisha wakaongeza hadi kufikia alana 7 kama sijakosea. Bahati mbaya nyingine zilipunguzwa hadi kufikia 1 kisha simba ikaongeza tena hadi 5 zaidi ila zilipunguzwa hadi kufikia simba ikawa yenyewe ndo...
Wakuu, nipo Mbeya nahitaji vifaranga wa kuku chotara...je ni wapi wanauza kwa maeneo ya jirani iwe Mbeya mjini, Mbozi, Mbarali au hata Tukuyu na Makambako. Aina gani ya vifaranga hao ni bora kwa ufugaji kwa maana wanakuwa wakubwa na wazito zaidi na hata utagaji. Nashukuru
Wadau, hii nchi itaendelea kweli? Mbona naona kuna maigizo mengi sana kuliko uhalisia wa kutafuta hayo maendeleo?
Ona, je kuna mipango madhubuti yenye kuzingatia uchumi unaokuwa kwa weledi huko mbeleni? mipango hiyo ni ipi?
Je, matatizo ya wananchi yanashughulikiwa kweli kwa moyo wa kuondoa...
Kuna aina nyongi sana za vyakula ambavyo wengine hatujawahi kukutana navyo. Ili kujisitiri na aibu siku ya kukutana navyo tupia picha na maelezo ya kuvitumia.
Hii samaki inaliwaje na hayo majani wakuu.
Ongezea zako.
Grace period again!
=====
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imewapa siku 30 kuanzia Novemba 14, mwaka huu wadaiwa wake sugu 154,000 kurejesha fedha wanazodaiwa.
Vinginevyo, imesema watakamatwa na kulazimishwa kulipa madeni na gharama za kuwasaka.
Kwa mujibu wa bodi hiyo...
1:Vicent Angban
Anaweza kupanga safu yake ya ulinzi vizuri.Ni goalkeeper ambaye hajawahi kupata kashi kashi yoyote ambayo inaweza kumpima uwezo wake.Ingekuwa si uimara wa safu ya ulinzi wa Simba,basi huyu goalkeeper angekuwa ndo kipa mbovu kuliko wote katika msimu wa ligi kuu Tz bara.Kimo chake...
Kuna rafiki yangu anatafuta kazi nchi za kiarabu kama Qatar,UAE n.k.Amesomea IT Canada.
Je,naweza pata link ya mashirika ya uhakika yanayohitaji watu/mtu wa IT?
Najua kuna wadau hapa wanaweza kunipa link za uhakika.
Nchi hii ni yetu sote,lazima tuipende!
Mambo mengi sana hayaendi sawa kwa kipindi hiki,sijajua kuwa ni suala la mpito tu au ndo la kudumu.Nashindwa kusema ni la mpito kwasababu ya mambo kadhaa yanayofanyika.
1:Leo hii ukienda TRA kukadiriwa kodi kwa biashara mpya,basi unaweza ukajikuta unakata...
MATHEMATICS EXAM PAPER
Time: 2Hrs 30MINS
INSTRUCTIONS: ATTEMPT ALL QUESTIONS.
ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS.
1. You have dated a girl for 2 years, eventually she drops you for another guy. Calculate the percentage of time wasted. (10 marks)
2. You bought a phone for your girlfriend and she...
Baada ya Bunge la Tanzania kupitisha bajeti iliyoweka kodi ya ongezeko la thamani katika sekta ya utalii, maelfu ya watalii waliokuwa watembelee Tanzania kuanzia Julai mosi mwaka huu wamefuta safari zao na kuzua hofu ya utalii katika Tanzania kuporomoka.
Kufikia leo asubuhi kampuni kubwa za...
Kumbe Kenya wametuacha mbali sana.hiyo ndo list;
1: Sweden 2:Brazil 3: USA 4:Japan 5: Russia 6:Italy 7: Poland 8: Philippines 9: England 10: Australia
11: India 12: Germany 13: Colombia 14: Ukraine 15: Canada 16: Mexico 17: Denmark 18: Venezuela 19: China 20: Spain
21: France 22: Romania 23...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.