Kichwa cha habari chahusika,nangoja tu wahusika kuhusika.kila muhusika nimemuhusisha.
Humu kuna nyuzi kama Uzi maalumu wa picha za watoto wakali,Uzi maalum wa kupena like na comments.nk
Nataka kujua tu nilichouliza hapo kichwani
Hakuna nilipolalamikia mshahara.nimekalamikia hako kamladi kangu mbali na mshahara.Hutanielewa mpaka pale babaako atakapoacha kupanga bajeti ya chakula kwaajili yako.
Habari zenu jamani.naomba watumishi mnijuze kama tayari shimo limetema.
Nilijichanga changa nikanunua kagari ka biashara sasa kamepata hitilafu kamekomba hela zangu zote.nategemea tu mshahara nikafufua kagali kangu kaendelee kupiga mzigo namimi nilipe madeni ya watu.
Ama kweli ng'ombe wa...
Hana kazi kivipi wakati umesema mmekuza biashara.ushiriki wake kwenye kazi zako ni kazi kwake pia.baba anayohaki ya kumuomba mwanae pesa kwakua anafanya kazi kwako
Asalam alaykum ndugu zangu,
Narudi tena baada ya kutopata mafanikio katika uzi wa kwanza.
Bila kuathiri maelezo katika kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji kununua gari kwaajili ya abiria.Gari iwe nzima na iwe haina deni lolote, pia iwe haijarudiwa rangi wala kuwahi kugonga sehemu.Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.