Sio kwamba natetea ujambazi nimeuliza polisi hawana mbinu zakuweza kujeruhi bila kuua ili majeruhi asaidie kutambua mtandao mzima ? Ikiwa polisi wanaua baada ya siku moja majambazi nao wanaua raia
Hivisasa kuna mauaji yanayo endelea huko kibiti pwani lakini pia polisi nao wameendelea kuua watu ambao wanadai ni miongoni mwawauaji waraia huko pwani swali langu hivi polisi hawafundishwi mbinu ya kuweza kukamata muhalifu akiwa hai ili wasaidie kupata wenzao? Binafsi taarifa inayotolewa na...
TPA nikatí ya tahasisi za mwanzo kuendesha zoezi la uhakíki wa vyeti mpaka mwezi wa 9/2016 wafanyakazi zaidi ya 500 walikwisha bainika kua navyeti feki lakini mpaka sasa wapo kazini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.