Ndugu
Kwa anaejua jinsi ya kutoa paten iliyosahaulika ktk simu iliyotajwa hapo juu bila ya kufrash.
Najua humu kuna hazina ya wajuzi wengi kama akina Chief Mkwawa na wengine tafadhali
Naombeni msaada wenu..
Wanajamvi salaam
Huu uzi ni kwa ajili ya kuonyeshana ufundi show ups katika ujenzi wa
Nyumba
Walls
Terraces
Na kadhalika karibuni
Ni ruksa kushare picha of your success katika ujenzi
Karibuni
ndugu wanajamii
Mimi namiliki pikipiki ambayo hivi sasa ina miaka mitatu...
nilifanya kosa kutembea na kadi original pasi kuwa na kopi.
Leo wakati naifanyia usafi ,nikagundua kuwa kimkoba nilichokuwa nahifadhia kadi hakipo.. kimepotea au kimeibiwa
SWALI LANGU ...nifanyeje ili niipate kadi...
poleni na majukumu ya kuijenga Tanzania mpya,
ndugu zanguni hali ya mambo duniani inaenda kasi sana kiasi usipotumia mianya hupati upenyo....
sasa, kuna hii kitu inaitwa wifi..ni nini? na mara nyingi kwenye simu yangu inanitaka password ili kuwa connected...je wahuvi wa mambo hakuna janjajanja...
Wanajamvi hii leo weekend,
Baba Salama ndio nimetoka kusalimiana na wadau kitaa baada ya shughuli kubwa iliyoniweka bize kwa takribani juma zima.
Maana mzee anasema tupige kazi na mimi nampa heko kwa sababu anaimba wimbo wangu alionifundisha mwalimu mkuu kuwa siku zote nifikirie nitamfanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.