Search results

  1. kikositija

    Application ya telegram ni nzuri kuliko whatsapp

    nafungua channel yangu naweka my staffs like music ,novels, and my writtings ni muzuka sana!
  2. kikositija

    Vifaa vyote vya simu jumla na rejareja

    mbona hujibu request yangu??
  3. kikositija

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    shukrani niliwapigia wakanipa text yenye token...thank you
  4. kikositija

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    HABARI NDG TANESCO JANA TAREH 01/04/2018 NILINUNUA UMEME KWA TIGOPESA 0655673456 KWA Tsh 9,200/- nikapata unit 75.2 KWA BAHATI MBAYA NIKADELETE TOKEN .. NAOMBA MSAADA WA ILE TOKEN KTK MITA 24212706774 natanguliza shukrani
  5. kikositija

    Mwanasheria Boney Nduati wa nchini Kenya amemtoa maoni yake juu ya Rais Magufuli

    a leader anapimwa kwa matokeo chanya MAGUFULI IS AT NEXT LEVEL is nowhere to be discussed na lawyer wa wanakijiji
  6. kikositija

    Vifaa vyote vya simu jumla na rejareja

    mimi nataka touchscreen ya XIAOMI REDMI 4x please
  7. kikositija

    Nampa hongera Diamond kwa kufungua kituo cha TV

    HONGERA DIAMOND NA WASAFI TEAM... LET THE ACTIONS SPEAK
  8. kikositija

    Msaada wa jinsi ya kutoa pattern iliyosahaulika katika simu ya xiaomi redmi 4x

    Siyo ya wizi mkuu believe and just help Mimi sio kama wewe just help bro
  9. kikositija

    Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

    Msaada namna ya ku unlock pattern zilizosahaulika katika simu ya xiaomi redmi 4x .
  10. kikositija

    Msaada wa jinsi ya kutoa pattern iliyosahaulika katika simu ya xiaomi redmi 4x

    Ndugu Kwa anaejua jinsi ya kutoa paten iliyosahaulika ktk simu iliyotajwa hapo juu bila ya kufrash. Najua humu kuna hazina ya wajuzi wengi kama akina Chief Mkwawa na wengine tafadhali Naombeni msaada wenu..
  11. kikositija

    UJENZI GALLERIES

    Wanajamvi salaam Huu uzi ni kwa ajili ya kuonyeshana ufundi show ups katika ujenzi wa Nyumba Walls Terraces Na kadhalika karibuni Ni ruksa kushare picha of your success katika ujenzi Karibuni
  12. kikositija

    kadi original imepotea

    ahaa kumbe, utaratibu wa kupeleka tangazo gazetini ni mtihani mwingine...na hasa kwa wanaokaa remote area kijijini huko... nashukuru kwa msaada wako Jumong S
  13. kikositija

    Edo Kumwembe: Tofauti kati ya Trump na wazungu wengine

    shit hole ni kiungo muhimu sana kwa maisha ya kiumbe hai....without shithole as said by TRUMP no survival for pussyholed nation like STATES
  14. kikositija

    kadi original imepotea

    shukrani NdegeMwema ...
  15. kikositija

    kadi original imepotea

    ndugu wanajamii Mimi namiliki pikipiki ambayo hivi sasa ina miaka mitatu... nilifanya kosa kutembea na kadi original pasi kuwa na kopi. Leo wakati naifanyia usafi ,nikagundua kuwa kimkoba nilichokuwa nahifadhia kadi hakipo.. kimepotea au kimeibiwa SWALI LANGU ...nifanyeje ili niipate kadi...
  16. kikositija

    Hivi Ulaya na Marekani nako Mvua ikinyesha Umeme huwa unakatwa?

    kila kitu ulayaa ulaya lini utafanya ya kwako hao wa ulaya waseme Africaa kuna wajinga kama ulaya?
Back
Top Bottom