HABARI NDG TANESCO
JANA TAREH 01/04/2018
NILINUNUA UMEME KWA TIGOPESA 0655673456
KWA Tsh 9,200/- nikapata unit 75.2
KWA BAHATI MBAYA NIKADELETE TOKEN ..
NAOMBA MSAADA WA ILE TOKEN
KTK MITA 24212706774
natanguliza shukrani
Ndugu
Kwa anaejua jinsi ya kutoa paten iliyosahaulika ktk simu iliyotajwa hapo juu bila ya kufrash.
Najua humu kuna hazina ya wajuzi wengi kama akina Chief Mkwawa na wengine tafadhali
Naombeni msaada wenu..
Wanajamvi salaam
Huu uzi ni kwa ajili ya kuonyeshana ufundi show ups katika ujenzi wa
Nyumba
Walls
Terraces
Na kadhalika karibuni
Ni ruksa kushare picha of your success katika ujenzi
Karibuni
ahaa kumbe, utaratibu wa kupeleka tangazo gazetini ni mtihani mwingine...na hasa kwa wanaokaa remote area kijijini huko...
nashukuru kwa msaada wako Jumong S
ndugu wanajamii
Mimi namiliki pikipiki ambayo hivi sasa ina miaka mitatu...
nilifanya kosa kutembea na kadi original pasi kuwa na kopi.
Leo wakati naifanyia usafi ,nikagundua kuwa kimkoba nilichokuwa nahifadhia kadi hakipo.. kimepotea au kimeibiwa
SWALI LANGU ...nifanyeje ili niipate kadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.