Kwahiyo TRA hawataki tuuziwe magari kwa bei nafuu. Wanataka watanzania watumie pesa nyingi tena za kigeni ili wao wapate kodi. Mwisho wa siku Tanzania ndo inapoteza coz pesa itaenda Japan na demand ya dollar itapanda na kusababisha thamani ya shilingi kushuka.
Nimeagiza kagiri kwa CIF ya USD 2950 Japan. Toyota passo ya Mwaka 2010. TRA wakaongeza 492.24 USD, kwamba bei niliyonunulia gari iko chini ukilinganisha na thamani ya gari. Mambo kama haya ndo yana sababisha rushwa. Kwa nn TRA wakatae bei alisi ya gari kwani ata ukingia kwenye website ya Be...
Baada tu ya zile tafiti zilizoonyesha Mr. Push up anaongoza; nilitumiwa yale matoke kwenye line ya tigo. Ila yale yalionyesha Lowassa anaongoza sukutumiwa. Nikapiga tigo customer care, mtoa huduma akaniambiwa wao hawausiki. Wazi wazi nikawambia wasinitumie tena text ya aina yeyote.
Mie ngoja nianze na figure 1: Je, wazijua ahadi zilizotolewa na mbunge wako? Ndiyo 64%, 30% hapana na sijui 5%. Naomba kujuzwa tofauti ya hapana na sijui kwa swali tajwa hapo juu? Pili, jumla ni 99% and y not 100% .
Kupima mkoja kuangalia infection haiwezi kutoa majibu ya kua na mimba. Njia na vifaa ni tofauti kabisa. Wataalamu wa afya wanaorder UPT pale tu wanapohisi wanamke ana mimba.
Kama watu wanatumwa kwenda kufanya operesheni ya kilinda maliasili zetu na wanaishia kufanya mambo ya ajabu kama haya. Nadhani ipo aja ya kuwapima akili maaskari na wanajeshi wetu coz watu wenye akili timamu hawawezi kufanya mambo ya kijinga, ya kudhalilisha na mauaji kama haya. Sidhani kama...
TZ yani unataka kutuaminisha kwamba huyu mwanafunzi ni tapeli na si mtoto bali mama.!! Basi sawa, Prof. Kapuya kaombwa msaada wa school fee ya Sh. 3,000,000/=, bila hata ya kufatilia au kuomba fee structure au kuwasiliana na chuo kutafuta ukweli akatoa 2,300,000 na kumalizia iliyobaki...
Jamani mie kulingana na kazi yangu natoka asubuhi na kurudi jioni na naishi pekeyangu so alipokuja karani wa sensa akanikosa. Wakaacha maswali matatu tu kwa jirani;
1. Jina kamili
2. Tarehe ya kuzaliwa
3. Kiwango cha elimu
Hii imekaa vizuri kweli, kwani kulingana na mkurugenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.