Search results

  1. C

    Makusanyo makubwa yasiyopangiliwa matumizi ni upuuzi!

    Tujiulize dubai inatumia kiasi gani cha pesa kwa kutegemea hao uliowaita foreign expatriates?vipi kama wangewekeza kupata wataalamu wazalendo?zama zinabadilika wasije wakadhani watabakia hivyohivyo milele na utajiri wa mafuta ambao ndio unawaleta hao wataalamu kwakuwa wanamudu kuwalipa.
  2. C

    Kamati ya Dr. Bashiru vs Kamati ya Spika gesi asilia ngoma inogile

    Jamani kuanzia kamati ya makinikia,kamati ya tanzanite,kamati ya mali za CCM,na hii kamati ya madini na uvuvi hakuna jina la EDWARD!Kumbe mafisadi yooote yamebaki kulekule.
  3. C

    Sakata mafuta ya kula: Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza bandarini na kukagua matanki ya mafuta

    Alichofanya Rais hapo ni kukwepesha lawama kwa wabunge kuwa wanapitisha madudu kwakuwa nayeye hatakwepa lawama hizo sababu nayeye alikuwepo wakati wanapitisha madudu hayo hasa wabunge wa CCM. kumbuka wabunge wanapitisha sheria lakini wao sio wabobezi wa sheria kwahiyo ofisi ya AG lazima ipitie...
  4. C

    Sakata mafuta ya kula: Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza bandarini na kukagua matanki ya mafuta

    Rais kilasiku analalamika,"wanatuibia wanatuibia"leo anakamata mwizi anashikana nae mikono!?
  5. C

    Sakata mafuta ya kula: Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza bandarini na kukagua matanki ya mafuta

    Kwakweli,kwa maelezo yaliyotolewa hapo sijaona tatizo la kumfanya Rais kuingilia kati,maana kama kungekuwa na tatizo basi mtu angetumbuliwa hapo.halafu eti kuna waliyoficha hawajayadeclare!?halafu haohao ambao hawajadeclare mafuta wamekwepa kodi wanashikana mikono na Rais!?
  6. C

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    @TANESCO,leo maeneo ya uhasibu,mtoni kwa Aziz Ally uwanja waTaifa TEMEKE hakuna UMEME tangu asubuhi mpaka muda huu.
  7. C

    Ndege kubwa ya abiria kutua uwanja wa ndege JNIA ni hatua kubwa, lakini itufunze kuwa na vipaumbele vyenye tija

    Wakishangaashangaa watatukuta tupo na RAIS wetu na sisi wapambe tuliovalia magwanda ya kijani TUNAIZINDUA na kuijumlisha kwenye orodha ya ndege zetu mchana kweupe,bora waondoke haraka.:)
  8. C

    Tafadhali Magufuli: Matatizo Haya Mengine Mnajitakia Bure

    jamani mnapata tabu bure kudhani watanzania wa zama hizi ni mazwazwa,unadai eti naibu waziri wa fedha ametoa ufafanuzi ufafanuzi gani ule wa kindezi?Mwl Nyerere aliwahi kusema sikumbuki neno kwa neno,alisema"mtu ukiwa na akili timamu akatokea mtu akakushauri jambo la kijinga nawewe ukakubaliana...
  9. C

    Kwa Watanzania waishio Marekani

    Kwakweli walichotufanyia hawa jamaa waliopiga 1.5 trillioni Mungu anawaona,yaani sisi tunawatetea humu kwamba ni watetezi wa wanyonge kumbe wao ndio wanatufanya tuwe wanyonge zaidi!1.5 trillioni bajeti ya kwanza je tukisubiri miaka kumi?na hapo ndio mengine yamefunikwa mwanaharamu apite...
  10. C

    Tanzania Online Content Regulations: Ni kosa kisheria simu, computer kutokuwa na password. Kuendesha Blog lazima ulipie!

    hoja hapa ni tozo sio uhuru wa wa mitandao.ndio maana kuna sheria ya mitandao mtu akifanya kosa atashughulikiwa na hiyo sheria.
  11. C

    Kafulila: CAG amekwepa jukumu lake kwa kushindwa kuweka msingi wa zilipo sh 1.5 trilioni

    Fedha zikishaliwa sio kazi ya CAG tena,yeye ni mkaguzi kutokana na vielelezo ulivyomletea mezani.sasa yanayoendelea baada ya hapo ndio unaona kuna watendaji wanasimamishwa kazi kupisha uchunguzi hiyo inakuwa sio kazi ya CAG.
  12. C

    Kafulila: CAG amekwepa jukumu lake kwa kushindwa kuweka msingi wa zilipo sh 1.5 trilioni

    Unaamini kwamba katika awamu hii inayopiga vita ufisadi makosa kama hayo yanaweza kutokea na kusababisha kashfa ya upotevu ambao unaweka historia ya kupita upotevu wa awamu zote zilizotangulia?
  13. C

    David Kafulila apangua hoja zote za Zitto Kabwe kuhusu ripoti ya CAG

    Nafikiri alichotakiwa kufanya kafulila ni kuichambua ripoti ya CAG na kuibua hoja zake sio kuichambua taarifa ya ACT iliyotokana na ripoti ya ukaguzi ya CAG.CAG akishatoa ripoti nafikiri kinachofuata ni serikali kufanyia kazi mapungufu hilo ndio naona ni la msingi,sio mawaziri na wakina kafulila...
  14. C

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    "Watanzania tembeeni kifua mbele,tuko on light traki,tuko pazuri kwerikweri"
  15. C

    Zindua zindua ya Rais Magufuli; hivi hanaga kazi zingine za kufanya?

    Sawa,lakini ndio hadi matawi ya benki?
  16. C

    Hotuba za Rais zimejaa Hofu na hazina Matumaini

    With time ndio jinsi listi makundi yasiyomwelewa yanazidi kuongezeka,walianza wanasiasa wakaonekana wanafiki na wivu unawasumbua,mara waliotumbuliwa ndio wanalialia,mara wenye vyeti feki ndio wanalialia,mara mafisadi ndio wanalalamika pesa hakuna sasa imefikia hata maaskofu wameona kuna tatizo...
  17. C

    Ajenda ya Tanzania ya viwanda inavyoigharimu CCM , Rais Magufuli na Watanzania

    Mwaka wa tatu huu wamefeli big time ni lazima wasingizie upinzani unawakwamisha na kuanza kukimbizana nao kama wanavyofanya sasa,nililijua hili litakuja baada ya wao kufeli.rais anazindua kiwanda cha sigara?
  18. C

    Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imeanza kuachia pesa

    Sabal kheri ndugu yangu,waonaje hali yako huko uliko?
  19. C

    Kiwanda kilichozinduliwa na Rais leo kipo toka 2013; kilifungwa kwa muda kwa kukiuka sheria za mazingira

    Sijawahi kuona marais waliotangulia wakizindua vitu ambavyo tayari vilishazinduliwa na awamu zilizotangulia,zaidi naona hizi ni dalili za kufeli kwa awamu hii ya tano,hakuna mtu atawekeza mamilioni katika hiki kipindi ambacho hakieleweki tunasimamia sera au matamko ya viongozi,mkuu wa wilaya...
Back
Top Bottom