Kwa mwenye taarifa jamani ani pm, natafuta saana hela Mimi ILA siipati na hata ikipatikana Ni hela mbuzi Tu, sasa basi kwa mwenye taarifa yoyote kuhusu upatikanaji wake kwa wingi naomba ani pm.
Kwa sasa hivi najisikitikia Ni kwa nini sikumpigia kura mh Magufuli maana kwa sasa hivi watu WA ukawa hatuna nguvu kabisa za kulisimamia tena jambo hili, Ni kwa nini basi mpaka tumefika hapa?
Jana Mh Rais alipokua akiongelea hili jambo kwa ujasiri mkubwa sisi watu WA ukawa hasa WA chadema...
Huyu mwana dada huwa ananifurahisha Sana na nikimskia kwenye kipindi Chao cha dinga mpya akiwa na somebody kingu, natamani cku moja nimuone live, amealiwa sauti nzuri na anaweza kumiliki kipindi, dinga mpya ya town oyeeee
Habari ya mwisho WA wiki wana jukwaa, poleni Sana na majukumu ya kila siku. Sasa kilichonileta hapa Ni kwamba Mimi Nina nyumba nahitaji mkopo kwenye taasisi za fedha, sasa kila nikienda wananiambia lazima niwe na biashara ndio nitapewa mkopo, dhamana wameikubalihaina tatizo, tatizo lipo kwenye...
Tafadhali husikeni na kichwa cha habari, Ni unga ulio bora kabisa na unafaa kea matumizi ya watoto, watu wazima na wagonjwa. Umetengenezwa katika mazingira ambayo ni masafi na salama...ingredients zake ni
1. Mahindi
2. Ulezi
3. Mtama
4. Soya
5. Karanga nk
Bei zake ni friendly sana
1kg ni tsh...
Habari za mchana huu wana jukwaa, poleni sana na mikikimikiki ya siasa, nahitaji mtu ambae anafaham microfince yoyote ile yenye masharti nafuu kidogo kwa mkopaji, ntashukuru sana kwa atakae nipa hzo taarifa, na awe na experince mfano kama kuna jamaa yake au yeye mwenyewe amewahi kukopa kwenye...
habari za mida hii wakuu, naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kuifanyia resetting nokia lumia 620 kwa mwenye ujuzi huo tafadhari msaada unahitajika, thank you so much in advance
mining compressor ya two pipes aina ya atlas au nyingine ambayyo ni nzima kabisa inayofanya kazi inahitajika haraka sana, kwa mwenye nayo tafadhari tuwasiliane Kwenye PM tufanye biashara
Habari za jioni wana jukwaa, naomba msaada kwa mwenye experience na hili suala. Mtoto wa mpangaji wangu ana umri wa miaka mitatu kasoro na ni wa kike hapendi kabisa kuvalishwa pichu yaani wakati wa kumvisha mpaka akamatwe kwa nguvu, na pia mkizubaa kidogo mnakuta tayari alisha ivua, na pia...
wakuu, napenda kufaham kwa mwenye details za kutosha kuhusu kinachoendelea afrika ya Kati, nashangaa na sijawahi kuona wala kusikia wakristo wanakua wanyama kiasi hiki , ni ukristo gani unao waelekeza kufanya mauaji? by the way hawatakiwi kuitwa wakristo bali ni majini
Habari za leo wana jukwaa, nahitaji kufahamu chuo kilichopo mjini arusha kinachofindisha kozi za jioni baada ya kazi Kwan bachelor degree ya economics, kuhusu matokeo ya kidato cha Sita hakuna shaka
Habari za leo wana jukwaa, mtoto wangu ana umri wa miaka mitatu ana tatizo la choo kugoma, inaweza kumchukua siku tano mpaka saba anakosa kabisa choo na pindi anapopata kinakua kugumu sana mpka huwa analia sana, anateseka sana kama ukimwona, naombeni msaada wa mwenye kuelewa solution ya hili tatizo.
Habari zenu wakuu,, tunauza mapazia ya mtumba grade 1 na ni mazuri .kwa anayeitaji anakaribishwa sanaa. yanapatikana tegeta nyaishoz
Namba ya Simu : 0712624800
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.