Kuna watu wengine ni hazina kwa Taifa si kwa jimbo.Faida ya Lisu kwa nchi hii ni kubwa sana kuliko kumpimia maendeleo ya jimboni kwake.Yeye si serikali ya kupeleka mapesa Bali ni mshawisi kwa serikali iliyopo madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.