Jamani nahitaji msaada wenu juu ya hill jambo nacte wanihamisha na kunipeleka chuo kingine tatizo no kwamba chuo ninachotoka hawataki tuondoke
Nilifikiria kitu kimoja nitoroke tu niende chuo nilichopangiwa na nacte ili nisije nikachelewa nikaanza upya kusoma na walifanyaapplicati kwa mwaka huu...
Kwa yeyote mwenye join instruction ya mbalizi instute of health kilichopo mbeya
Anifahamishe kuhusu jumla ya michango na ada
Natanguliza shukrani kwenu
Niko Chuo cha Muyoge, nasoma kozi ya Clinical Medicine ninapitia wakati mgumu sana katika maisha yangu ambapo imenifanya niingie kwenye mgogoro wa nafsi maana mazingira ya chuo nilichopo na ufundishaji hayaridhishi.
Mgogoro wangu wa nafsi nataka nihamie chuo kingine ambapo moyo wangu utaridhika...
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Basic Certificate. Ningeomba msaada kwa anayeweza kunifahamisha aina ya laptop na space inayotakiwa ili nifanikishe lengo langu.
Natanguliza shukrani kwenu.
Nipo chuoni mwaka wa kwanza nilikosa chuo cha serikali lakini saiv Niko chuo cha private nasomea utabibu nategemea kuajiriwa serikali nisadieni kulingana na uzoefu wenu
Natanguliza shukrani
Niko chuo cha private ninampango nihamie chuo cha serikalini naomba munielekeze jinsi ya kufany uhamisho nipo mwaka was kwanza
Natanguliza shukrani kwenu
Matokeo yangu ya form four PCB (CCB) na math D naihitaji nikasome clinical medicine diploma mwenyekujua chuo chabinafsi kwa ada ya unafuu kidogo
Natanguliza shukrani
Nilituma maombi kwa njia ya online kwa kozi ya Clinical medicine naomba mnipe njia mbadala za kufany I'll nipate chuo cha serikali
Natanguliza shukrani kwenu
Nimemaliza kidato cha NNE mwaka Jana na kupata div 2 na kwa sasa Nina matatizo kiafya sisikii vzuri niende chuo cha afya au niende advance ushauri tafadhalu
Nimemaliza kidato cha NNE mwaka Jana na kupata div 2 na kwa sasa Nina matatizo kiafya sisikii vzuri niende chuo cha afya au niende advance ushauri tafadhalu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.