Kuna rafiki yangu anaishi maeneo ya Kibaha anatafuta Fundi wa CCTV camera wa eneo la Kibaha! Shida ni kufunga camera hizo nyumbani kwake! Kama Fundi huyo yupo ajitokeze akamate huo mpunga!
? +? +? =30
Use the following numbers to fill in question tags!
1,3,5,7,9,11,13,15
The numbers can be repeated, no problem!
Wish you the best!
If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Wataalamu wa maji na miamba karibuni katika mjadala. Swali, maji ya mto yanatoka wapi? Maji yanatoka kwenye chemichemi ndani ya ardhi. Je, kulima juu tu kunaharibuje chemichemi hiyo!
Maji yanapotoka kuna msukumo (pressure) kubwa kuliko yanapokwenda! Ili maji yasitoke tena inabidi msukumo...
*MATHEMATICS EXAM PAPER*
*Time*: *3Hrs 30MINS*
*INSTRUCTIONS:*
1 *_ATTEMPT ALL QUESTIONS_*
2 *_ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS_*
*1.* You are a married man and you have dated somebody's wife for *two* years, busy spending on her like there is no tomorrow. eventually she drops you and...
Maendeleo yote yataanzia hapa. Mtu ambaye hana chakula, hashibi huwezi kustawi kwa chochote!
Tufanyeje sasa ili kila Mdomo wa Mtanzania upate chakula cha kula? Naomba tuanzie hapa. Mimi naanza hivi, Tanzania kwa sasa tupo takribani watu milioni hamsini (50m). Hivyo kwa siku tunahitaji 1/2 kilo...
Posted as received:
LETTER TO AFRICAN PARENTS
Dear All- Let's be real.
I wish to start by adding the benefit of my time as a student and then resident in the UK. Living in Abuja now. The first thing that I discovered about UK-born, white, English undergraduates was that all of them did...
This is what I think on how we can move forward!
Introduce methods of farming that are different from digging a hole in the ground and cover it up with soil. Make agriculture a science. To farm this way, one needs to understand soil types, the fertilizers that type of soil require, and which...
Mradi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda- Tanzania, Tanga unaweza kwenda sambamba na Mradi wa maji safi kutoka mto Kagera. Kwa kufanya hivi tutapata unafuu wa gharama za Mradi wa maji safi na ya uhakika!
Mjadala upo mezani kujadiliwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.