Kuna option mbili tu hapo! Kumpa au kutompa mzigo!
Akimpa, faida zake :
1. Atafaulu
2. Atapata heshima kwa jamaa na marafiki
3. Atajenga urafiki na Ticha
4. Hatatumia muda mwingi kujisomea
5. Atapata muda mwingi wa mapumziko kujiandaa na semester inayofuata
6. Anaweza kufanya shughuli ndogo...
Dr, namba moja ndio ina maana tu, namba mbili na tatu zinakuja automatic! Hivyo, endelea kututafutia njia zingine hizo mbili! Mpaka sasa umetaja njia moja tu!
Mimi sioni tatizo! Labda wangekuwa wanadivert maji kutoka kwenye main stream! Maana lile bwawa litajaa na maji yataendelea kuflow kama kawaida!
Vile vile tunaweza kuchimba bwawa kubwa la kuifadhia maji kabla Kenya hawajajenga lao ili kipindi bwawa lao linajazwa tuwe na maji ya kutosha ili flow...
Ni vema sheria hii ikaangaliwa upya maana kuna siku atatokea mtu mwenye pesa nyingi atakuwa Rais kwa pesa yake tu!
Fikiria Mwenyekiti wa uchaguzi anamtangaza Mhe Dovutwa kuwa ndio mshindi! Na watu wote mnajua labda kuwa hakushinda! Mtafanyaje?
Samahani Mhe Dovutwa, inawezekana ukatangazwa...
Hakikisha unafuga nguruwe na kuuza mmoja kwa week kwa laki mbili! So, kwa mwezi unauza nguruwe 4! Kwa mwaka uza nguruwe 48!
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimamishe kazi houseboy!
Kisha mpangishie chumba mbali na kwako! Mfano kama unakaa Tegeta mpangishie Mbagala rangi tatu! Mgharamie kila kitu!
Kisha mzengue mme wako! Kumzengua ni kujikasirisha tu hata akicheka unasema umenichoka mimi ni wa kunicheka, kisha unasepa zako na kihouseboy chako...
Hii, inawezekana ikiwa unajua adui atakupiga lini, wapi na kwa kiasi gani! Pasipo kujua haya huwezi sema utalipiza ipasavyo!
So, my take kama unataka kumshinda adui yako lazima uwe vizuri sana na utumie pre-emptive attacks ili adui a- succumb to your will!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.