hebu acheni kukatisha askari tamaa, hivi wewe ni mtanzania kweli mwenye mapnz na nchi yako? sasa unashabikia milipuko as if ni ki2 cha kawaida. sometimes mjifunze ku-appreciate kazi za police sio kuponda kila jambo....nadhani nimeelewka
pete ina umuhimu wake, kama umeoa au kuolewa kwa bila shinikizo huwezi kuogopa kuivaa hata mara moja. ila kam umeolewa/oa kwa push ya watu wengine then u will feel ashamed kuwa nayo mkononi.
pete ina umuhimu wake, kama umeoa au kuolewa kwa bila shinikizo huwezi kuogopa kuivaa hata mara moja. ila kam umeolewa/oa kwa push ya watu wengine then u will feel ashamed kuwa nayo mkononi.
Ni vema kukaa na kuzungumza pale mnapotofautiana. Ni hatari sana kuweka mambo moyoni, ni sawa na kukaa na bomu ambalo laweza lipuka muda wowote!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.