Ongea na muuzaji alieko China,then nenda kwa kampuni ya usafirishaji wao unaweza wapatia pesa wakakununualia huko,kwa sharti la kusafirisha hio machine kwa kampuni yao.
Sasa ulitaka azae nawewe[emoji16],kumjadili mtu ndo Kuna dhihirisha kuwa wewe ndie mpumbavu,kumjua jua sana mwanaume mwenzio nako pia ni tatizo,Nina mashaka naww kile kiduara sidhani kama kipo salama.
Ukiona pesa haina umuhimu kwako usiitafute kaa tu bila kufanya kazi,uchaguzi ni wako.
Maana unaogopa kupata pesa kwamba Kuna magonjwa ya matajiri,hofu vyote hivo wameandikiwa matajiri,dawa ya kisukari ni umasikini,kazi unayo.
Brother hapo ndo mahala unapopata ridhiki yako,usikubali mtu yeyote apachezee kwa namna yeyote ile,ikitokea umeishiwa huyo kijana hutakaa umuone hapo,Kuna watu ni ma agent wa shetani sisemi kuwa dogo ni agent,ila kaa nae kwa umakini watu wengine wanatumika kukuangusha pasipo wao wenyewe kujua...
Mtu anapambana miaka nenda rudi,anafanikiwa unasema ni madili ya u mayor,hii ni dalili ya wivu but hujui kama ni wivu, sometimes mtu akifanya mambo mazuri mpe pongezi bila vijisababu hutapungukiwa chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.