MKUFU WA SHANI (2)
IMETUNGWA NA BEKA MFAUME
[The Greatest]
ILIPOISHIA
Kabla hajateremka kutoka kwenye gari ambalo tayari lilishaegeshwa kwenye maegesho ya nyumbani na mume wake aliyekuwa akiliendesha, Shani akaingiwa na hisia kuwepo na hitilafu shingoni kwake. Hisia hizo zikaenda sambamba na...
Na Beka Mfaume
[The Greatest]
MKUFU WA SHANI
Rika lake lilionekana kutozidi miaka arobaini. Alikuwa akiteremka kwa haraka sehemu ya mwisho ya ngazi huku mkono wake ukiwa umekamata kingo ya pembeni ya ngazi hiyo na kuwa mhimili wake...
Ama kwa hakika aliyewahi kuthubutu kusoma kazi za huyu mzee anaweza kusadiki maneno yangu kwamba ni kalamu moja flani hivi yenye utulivu ndani yake..... riwaya kama MWIBA...THE GOD FATHER...TUFANI...DHIHAKA....MARRY MARIAM... na nyingine nyiingi..... napenda kushare na nyinyi hii najua wapo...
Naomba msaada mwenye joining instruction ya chuo cha Institute of Rural Development Planning - Mwanza anisaidie maana nimeenda selfom kwenye post za advanc na vyuo sijafanikiwa kuipata.
Naomba msaada kuhusu jinsi ya kucrop passport size iwe na ukubwa wa 150x160 ili niweze kui apload bodi ya mikopo.
Tafadhali naomba nisaidiwe kwa hilo kwa yeyote mwenye uwelewa kuhusu hilo.
Jamani mwenye joining instruction za DAKAWA TEACHERS COLLEGE maan dah siwaelewi kabsa jamaa..mpaka post zinatoka ilikuwa nikwamba nisubir mpaka chuo kitakapo wasiliana na mimi...lakin siku zinaenda sijapigiwa simu....wala mawasiliano ya aina yoyote.
Mpaka hivi karibuni nilipoamua kutafuta namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.