Kuna umuhimu mkubwa sana nchi ikiliangalia kwa jicho la tatu swala la teknolijia.
swala la ku upgrade mfumo hata sio swala baya wala swala la kulaumiwa ni jambo jema kabisa humaanisha kukua kwa teknolojia hivyo mifumo haina budi kubadilika pia ili kuendana na mahitaji.
Swali langu...
Je...
AISEE NAJARIBU TU KUJIULIZA KWA SAUTI KUBWA........ HIVI HUYO BWANA ANNUNAK ALIYEWATUMA NDUGU ZAKE KUTAFITI DHAHABU NA KUZIPATA ZIKIWA DUNIANI NI WAZI KUWA HAKUZIWEKA YEYE WALA HAJUI ZILIKOTOKA RIGHT? KAMA JIBU NI NDIO NAJIULIZA TENA NINANI ALIYEHUSIKA KUIFANYA HII STADI YA HIZO DHAHABU...
kama ikitokea wamekujibu kwenye kipengele cha comment utakuta ujumbe huu...
Habari tafadhali pokea majibu kutoka RITA Jinsi ya kupata verification code( bonyeza birth services- certificate verification kisha bonyeza print yenye rangi nyekundu utaona namba iliyopo juu kulia) Asante.RITA
kiukweli sijawahi kubahatika kujua ni kwa muda gani sahihi hawa watu huchukua mpaka kukamilsha taratibu zao. hii ni kutokana na kuwepo na watu ambao hujibiwa ndani ya wiki moja na nusu, wiki mbili mpaka wiki tatu na zaidi. hivyo nikashindwa kutambua muda sahihi wa hii taasisi ni upi.
MKUFU WA SHANI (2)
IMETUNGWA NA BEKA MFAUME
[The Greatest]
ILIPOISHIA
Kabla hajateremka kutoka kwenye gari ambalo tayari lilishaegeshwa kwenye maegesho ya nyumbani na mume wake aliyekuwa akiliendesha, Shani akaingiwa na hisia kuwepo na hitilafu shingoni kwake. Hisia hizo zikaenda sambamba na...
Na Beka Mfaume
[The Greatest]
MKUFU WA SHANI
Rika lake lilionekana kutozidi miaka arobaini. Alikuwa akiteremka kwa haraka sehemu ya mwisho ya ngazi huku mkono wake ukiwa umekamata kingo ya pembeni ya ngazi hiyo na kuwa mhimili wake...
Ama kwa hakika aliyewahi kuthubutu kusoma kazi za huyu mzee anaweza kusadiki maneno yangu kwamba ni kalamu moja flani hivi yenye utulivu ndani yake..... riwaya kama MWIBA...THE GOD FATHER...TUFANI...DHIHAKA....MARRY MARIAM... na nyingine nyiingi..... napenda kushare na nyinyi hii najua wapo...
Naomba msaada mwenye joining instruction ya chuo cha Institute of Rural Development Planning - Mwanza anisaidie maana nimeenda selfom kwenye post za advanc na vyuo sijafanikiwa kuipata.
teh hatuwezi kupata mawazo mapya bwana kaka kama tutakuwa na utamaduni wa kufikiria kuwa kilichopo ndio ALFA na OMEGA. Dunia isingefika hapa ilipo bwana ndugu.
ndugu yangu ngoja nichukue nafasi hii kukupongeza kwa kuutumia muda wako japo kufikiria kitu ambacho ni fact na kina ukweli ndani yake.
teh serikali buana
Narudia tena changamka kaka .. na ukumbuke inachukua siku kumi kujibiwa .........
duh kweli kasheshe nikazani ni kwa siku tatu imezid sana wiki kama ilivyokuwa mwanzo kumbe 10days kbs inabd niwe mpole
Mimi ni mwanafunzi wa Kidato cha Sita nahitaji kufanya uhakiki kwa cheti cha kuzaliwa kwa ajili ya kuomba mkopo lakini mfumo wa RITA wa mwaka huu umenishinda. Mwaka jana nilifanya kupitia uhakiki Portal.
Kama kuna yoyote aliyefanya maombi hayo nakufanikiwa anisaidie tafadhali.
aisee mimi sijapata kuelewa pahala.............! nimeingia kwenye account na nilichokikuta ni kwamba your not selected in both bach 1 and 2. swali....... sasa kama bach 3 imetoka kwann wakomee kuandika bach 1&2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.