I Wonder,in spite of all the gambling going on in Zambian but they are economy is still strong than Tanzanian, the fool country with no direction...tujiulize.wenzetu hawana resources nyingi kama sis lakin wametuzid sana hata pesa yako uko juu.....
Tanzania yangu umelogwa na nani???
Unasema kwel kabisa...
Watu wakisikia zimbabwe wanajua ni dampo...nilikaa pale maisha ya zimbabwe ni kama uko ulaya..they dont have cash but they live luxully life...
Ni nchi yenye wasomi sana..
Ubaguzi gani hapo?hivi wazungu mbona wanatubagua sana kwenye nchi zao na wako salama?mnatetewa bado mnalalamika,
Sis waafrika sijui nani ameturoga,tumewagawanyishwa kwa namna kubwa sana.
Nchi yako yenyewe unakuwa mtumwa?sina ubia na lowassa wala magufur.hawa ni wanadam tu kama sis,kwahiyo wakikosea jambo tusiongeee?
Tatizo watanzania ukiona mtu analalamika unajua anaponda upinzani au chama tawala..kuna wengine hatuna vyama...
Haki ifatwe
iphone 7
Nakumbuka kuna jamaa yangu mmoja alifanya huu mchezo,
Alijifanyisha anaumwa.akabebea na ambulance mpaka hospital kunbe ni trick ya kukwepa jera...unaumwa huku issue inasoviwa kijanja.
iphone 7
Daaah..nimeshtuka ghafla..
Hapa nilipo naomboleza msiba wa rafiki yangu na jumapili tu tulikuwa tuko pamoja then mda huu nakutana na thready kama hii..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.