Natumai mko salama, nimekua mdau Wa Jf tangu mwaka 2009 nikimiliki account lakini kuna tatizo lilitokea sikuweza ku-sign in tena hivyo nimeamua kurudi tena humu.
Nategemea kujifunza mazuri toka kwenu, tuko pamoja.
Natanguliza shukrani.
Computer Expert
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.