Nakubaliana na mawazo yako ka kiasi kikubwa, but legal procedures haziruhuru kutafuta HAKI yako KWA KUVUNJA HAKI ZA WENGINE.Halafu jambo la pili, mbona CHADEMA hawataki kusema ukweli kuhusu kumtumia LUCY OWENYA kupiga kura Hai wakati jimbo lake ni Moshi mjini?Kama Chatanda alivunja taratibu za...
elimu ya watu wazima alihudhuria mama yako maana alikuzaa hajui kusoma. You young boy, never ever try to compare my thinking capicity with your foolish idea.You idiot, it's better to keep quet and peope to think that you are foolish, rather than to speak and remove all doubts.
Sasa naamini kile nilichokuwa nadhania kwa muda mrefu tangu nijiunge na CHADEMA, kuwa chama hiki hakitetei maslahi ya umma, bali kinatumia nguvu ya umma kutetea maslahi ya wachache (viongozi ambao wengi wao ni wachaga).Nashukuru kuwa umetamka mwenyewe kuwa CHADEMA walikuwa wanataka madaraka...
Chama kilichojiita eti cha demokrasia na maendeleo, kimebainika kuwa hakina demokrasia yoyote. Kwenye maandamano ya Arusha walishawishi watu kuingia mtaani kusaka haki zao (mimi sikuenda kazini ili nishiriki kikamilifu)
mbunge tuliyemuamini sana Godless Lema akasisitiza kuwa ni heri kufa ukiwa...
CHADEMA acheni unafiki. Leo ndio mnajua kuna njia za amani? Eboo!! Aibu gani hii. Si nyie ndo mliotushawishi kuwa ni heri kufa tukipigania haki kuliko kufa kwa malaria au typhoid.?Sasa eti leo mnajifanya wapenda amani. Thubutuu! Na mkiendelea hivi chama hiki kitakufa Natural Dealth.
minyoo itakuua. PUMBAF!! Badala ya kufikiri kwa ubongo unatumia fuvu? Nyang'au wee! Yani kwa akili zako finyu unataka watanzania waache kuangalia uwezo wa mtu, waangalie uchagga? Kichwa nazi kabisa. Mtu kama ana uwezo apewe nafasi, bila kuangalia ni kabila gani.
u are right bro. Bt we cn not predict our future if we cn not correct da previous mistakes. Amehadaa watanzania na kutukwamisha sn kimaendeleo. So, tunadiscuss coz still wapo viongozi wetu wanatumikishwa kwny ushirikina.
kweli tohara kwa wanawake ni mbaya. Kumbe toka wakukekete umepoteza memory kabisa. Eti Nyerere alikufa na ccm yake, alafu unatoa refference ya mwaka 91. Nani alikuambia nyerere alikufa 91?. Tena inavyoonekana wewe ni mkimbizi, maana hata tarehe muhimu za nchi huzijui. Pole!!
Jamani chama changu cha magamba kiko ICU. Kina hali mbaya sana. Enzi za uhai wangu nilijaribu kukilinda kwa majini na maruhani kutoka kuzimu kwa baba yangu Shetani, lakini bado nilipata wakati mgumu.
Nilipata wakati maana nilikuwa natumia mbinu za kutisha tisha kwa mfano "ATAKAYEMPINGA JK...
tatizo la watu wenye minyoo kama wewe huwa hamuelewagi hata mpasuliwe vichwa. Nani kasema hataki Chadema ihojiwe? Kuhoji ni haki ya kila mtu, but ni vizuri tukapima hizo Arguments ni Inductive au Deductive. And that is wher discussion of Kipanya's illustration is. Jifunze mambo acha kukurupuka...
Mbunge wa zamani wa Kishapu Fredrick Mpendazoe ameibuka na kutaja baadhi ya vigogo wa CCM kuwa eti ndio walioasisi CCJ.
Miongoni mwa waliotajwa ni pamoja na Spika wa zamani Samwel Sitta na kasuku wa Sisiem Nnauye.
Je madai haya yana ukweli wowote au ni mbinu za mzee huyu kurudi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.