Miaka ya nyuma nilitembelea na kuishi visiwani kama Ntama Kome Zilagura Kasalazi Gembare Chamagati Soswa n.k nikutana na watu wanakupa stori zao na matukio yako na wamejichimbia huko Dah uwezi amini Tanzania ni kubwa aisee watu wamepotea miaka na miaka kumbe wapo visiwani tu
Mama wa marehemu kasema simu ya mwanaume ilosoma maeneo ya tunza.Tunza ni maeneo ya mwambao wa ziwa na mwanaume ni mvuvi na kutoka buswelu mpaka tunza ni karibu kupitia kiseke mimi naamini jamaa yupo kakimbia mjini tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.