Nakumbuka wakati naanza chuo nilikua na chaguzi mbili kati ya kukaa nyumbani au hostel ila mwisho niliamua kukaa nyumbani na hela ya boom nikawa naiweka. Hadi namaliza nilikua na viwanja viwili na japo sasa nina kazi ila naamini baada ya miaka michache thamani yake itakua imepanda sana. Ni...
Jiunge halafu ukishapata text ya kwamba umeunganishwa unatuma ujumbe wa ONDOA kisha unatolewa. Ni vizuri kutuma huo ujumbe ili kuepusha kukatwa endapo hautakua na haja tena ya kujiunga mkuu. Nawasilisha
As soon as possible ni yy atakapoona inafaa not necessarily when u thnk it will b appropriate kwa hiyo km ni baada ya mwaka mmoja then baada ya mwaka ndo itakuwa as soon as possible kwa kuwa maamuzi ni juu yake
Kiko Mbutu Kata ya Somangila Kigamboni Kilomita 26 kutoka feri ukubwa miguu 90 kwa 40. The property was legally acquired through willing seller and buyer. Sihitaji dalali wala bond its Cash non negotiable, non refundable upon exchange of contracts. Price : 8,000,000 (Eight Million) Contact ...
Kigamboni kumekuwa kizungumkuti sana na hatujui kama huo mji utatoka nje a eneo la mastaplan wengine tushawekeza vijisenti huko ! Tunahitaji muongozo wa kutosha :confused2::confused2::confused2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.