Search results

  1. 1

    TV card

    Wadau natafuta tv card pichani ya Sony Bravia 42" Sent using Jamii Forums mobile app
  2. 1

    Kati ya kalenda na biblia kipi kilitangulia?

    Kalenda ya kiswahili yaani mosi ni 1 Pili ni 2 lkn mwisho ni 5 alhamis nayo ni 6 kwa kihehe labda na ijumaa ni 7 kwa kizaramo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. 1

    Msaada jinsi ya kurecord incoming call Samsung GT19152

    asante mdau nimejalibu imekubali na inafanyakazi
  4. 1

    Msaada jinsi ya kurecord incoming call Samsung GT19152

    Wadau, Naomba msaada jinsi ya kurecord incoming call kwenye simu yangu kuna raia ameamua kufungua mazoezi ya matusi najaribu kumuonyesha kuwa mlengwa sio mimi. Lakini bado anayaporomosha tu nahitaji msaada huo ili niweze kuchukua hatua za kumshitaki japo niwe na ushahidi wa kuanzia kampuni...
  5. 1

    Nauza simu zangu 2

    kabla ya kuuzina hivi vimeo tuangalie kwanza TCRA *#06# sms kwenda 15090 au tcra website IMEI Code VerificationHow to verify the IMEI Code of your mobile device Instructions: Please follow the steps below in order to verify the IMEI Code of your mobile device Dial *#06# on your mobile...
  6. 1

    Nauza simu zangu 2

    Enter IMEI Code: IMEI VERIFICATION RESULTS IMEI Code : 35............... Phone Model : LG LG-D802 Manufactured by : LG Electronics Inc. Frequency Bands : GSM 1800, GSM 1900, GSM 900, GSM850 (GSM800), HSDPA, HSUPA, LTE FDD BAND 1, LTE FDD BAND 20, LTE FDD BAND 3, LTE FDD BAND 7...
  7. 1

    Wauza smartphone tukutane hapa

    KAB
  8. 1

    Wauza smartphone tukutane hapa

    KAB
  9. 1

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Enter IMEI Code: IMEI VERIFICATION RESULTS IMEI Code : ....................... Phone Model : LG LG-D802 Manufactured by : LG Electronics Inc. Frequency Bands : GSM 1800, GSM 1900, GSM 900, GSM850 (GSM800), HSDPA, HSUPA, LTE FDD BAND 1, LTE FDD BAND 20, LTE FDD BAND 3, LTE FDD...
  10. 1

    Ubadhirifu ofisi ya mtendaji Kata Majohe Kichangani na maafisa wa Halmashauri ya Ilala

    Wadau, Ofisa mtendaji wa Majohe akishilikiana na baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Ilala, walikuwa wakiendesha zoezi la ukusanyaji wa kodi za majengo, kwa wakazi wa majohe kwa vipindi vya 2013/2014 na 2014/2015. Walikuwa wakiwalipisha wakazi wa Majohe kiasi cha kuanzia 65,000 hadi 125,000...
  11. 1

    Mrejesho: Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

    kwa kuto kufikili kwako umetuondolea mwalimu wetu mwanajeshi wetu daktari wetu mkulima wetu dereva wetu hadi malaya wetu hukujua Mwenyezi Mungu alimpangia awe nani hapa duniani umeamua kutoa hapa duniani kwa ajili ya huyo x wako mpuuzi, aah Rip mimba
  12. 1

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Wadau, amani iwe kwenu. Inaonekana ama Kubenea hajui majukumu yake ama anatafuta umaarufu katika mambo ambayo hana uwezo nayo. Tangu achaguliwe kuwa mbunge, Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amekuwa kituko nje na ndani ya bunge. Ndani ya Bunge, Saed Kubenea anaonekana mtu wa jazba, chuki, husda...
  13. 1

    Bomoa bomoa yavaa fukwe za Mbezi Beach; Kuacha kilio kwa matajiri wavunja sheria!

    ile malaika ya mwanza nadhani ipo mita 2 tu daah wakivunja ile golden tulip
  14. 1

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    mdau mtoa post anasema amechukua fomu ya unaibu spika sio spika
  15. 1

    Gari canter tonne 3 inauzwa

    weka bei mkuu
  16. 1

    Nauza mbwa wa kisasa wana umri wa miezi 2 wako katika afya njema Kitunda Dar

    aina ya mbwa na picha zake zingehusika maana laki 1 mmh haya tupia picha pse
  17. 1

    Ushauri juu ya mkuu huyu wa shule

    kwanza nakushukuru wewe mwalimu kwa waraka wako , ni jambo jema kujivunia kuwa na mwalimu kama wewe maana haya ndio matokeo ya BRN , kwa aina ya waalimu kama wewe ni matarajio yangu kuwa wanangu watapata elimu bora kupitia mwalimu kama wewe, pia pongezi ziende kwa chuo ulicho somea taaluma hii...
  18. 1

    Taja eneo uliopo kama nako hakuna umeme

    uwanja wa ndege wa kipawa aka mwalimu julias nyerere int hakuna
  19. 1

    Maji chumvi kwa sasa basi, tunatoa maji chumvi kuwa safi kabisa

    27m+gharama za kuchimba kisima ni kama 5m jumla 32,000,000 kununua maji safi lita 1000 ni tsh 15,000 ambayo lita 1 ni tsh 15 sasa 32,000,000 ni sawa lita 2,133,334 ambazo ni sawa na matumizi ya lita 5,844 kwa siku ambapo matumizi ya kawaida kwa siku ni lita 1000 je kwa pesa hy nitatumia maji...
Back
Top Bottom