Jamani hii gari inanisumbua mbaya, inazima kwenye foleni, inatoa moshi mweusi, inakosa nguvu. Mafundi vimeo kila siku wananilia hela mara plugs mara kusafisha oxygen sensor mwenye ujuzi please
yaani watu kama nyie ndio vimeo kama nini? wabishi kwenye kazi hamfundishiki much know sana! bora kuajiri under graduate ukamuendeleza kuliko kuajiri watu dizaini hiyo!!! Master unatakiwa usome baada ya kufanya kazi at least one year same apply to CPA, ur qualification unatakiwa uombe Managers...
kuna haja ya wana jamiii forum kubadilika mtu akiuliza swali nadhani anataka kujua kitu hasa kinachomkera!! na sidhani kama hii nisehemu sahihi ya kafanyiana mdhaha na kejeli tuwe wazi na straightforward kama issue huijui kaa kimya ujifunze kupitia wengine. muuliza swali ameuliza swali nzuri...
acha jazba biashara matangazo na kujieleza vizuri!! weka bei location ukubwa umbali kutoka main road, je wewe ni dalali au ndio mmiliki? jieleze kama Muuzaji sio "nauza kiwanja" kama unasema naenda kukojoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.