Usikilizwe na wewe unajipya gani?
Kwa taarifa yako uchaguzi mkuu umekwisha alieshinda ni kama mwanafunzi kumuelewa mwalimu darasani .wanachi wako pamoja na wanawakubali viongoz wao.
Wewe nan?
Mkuu kwani.sifa kuwania ubunge ni zipi? Kama mtu ndoto yake siku moja kuwa MP.
Kuwa mtumishi wa umma siyo hoja.atatoka huyu aliyemaliza chuo nae atacover naafasi hiyo.wote lengo lao kulijenga taifa.
Ameleta maada yeye kamaliza.kufikia hadi una comment means maada umeielewa vzuri.
Umeeambia ndugai kaomba kwa sababu kongwa hakuna ofisi kubwa na nzuri ya takukuru.lkn mkurugenzi kuomba ofisi ijengwe Chato.huko chato tayari ofisi IPO na ya ni nzuri ya ghorofa...kunakujuana apo?
Huna hoja ya msingi.Fanya mjitathimini kwanza na hicho chama chako
Tanzania ni nchi ya kwanza Africa mashariki na ya kumi 10 Africa kuwa na wananchi wenye furaha.kwahiyo bas tumeridhika na utawala wa awamu ya tano na tunaenjoy.
Acha propaganda mkuu.kwani mashart ya kutia nia ubunge au udiwani yanasemaje?....
Hii ndiyo democrasia.MTU kuwa msanii comedian sioni kama kikwazo cha kushindwa kuwatumikia wananchi.mifano IPO hai.
Waache wakatie nia.kanuni na taratibu zitafuatwa ili kupata mgombea mwenye dhamira ya kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.