Ua langu limechumwa- bila mimi kujua..
Moyo wangu unauma- natamani kujiua..
Amekosa huruma- ua langu kunyakua..
Hivi nan kamtuma- leo hii naugua....
Ua lilinawairi- kila mtu alidata..
Haikua tena siri- ua lilitakata..
Uzuri wake wamwili- vigogo walimtaka.
Utamu wake samsuri- watu wakamteka...
Hela mwanaharamu, zinanunua mapenzi
Utapata mautamu, bila hata ya hirizi
Shingoni atakuchumu na tabasamu la kiwizi
Atasema bby tamu, na yatamtoka machozi
Bby wew mtaalam, tena anamwaga radhi
Bby unanipa hamu, anakupa na pongezi
Kumbe mwana haramu, anajifanya mwanafunzi
Jaman nyie mademu, wanaume...
Dar ni mjini, ila kua makini.
usizipende bikini, zitakutia madeni.
asuhui upo na queen, usiku zaituni.
tuliza wako ukuni, utabaki na amani.
ila ukizid kutamani, ishi na sabuni.
Leo utahonga laki, kesho atataka dola.
ukimnunulia mishkaki, atadai na kijora.
yani hawasomeki, ni nyingi zao hila.
michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela.
Utampeleka samakisamaki, ila nyumbani hawajala.
Utamkodia pikipiki, ila mkeo daladala
utampeleka Denimaki, kama mtoto wa Kajala...
leo utahonga laki, kesho atataka dola.
ukimnunulia mishkaki, atadai na kijora.
yani hawasomeki, ni nyingi zao hila.
michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela.
utampeleka samakisamaki, ila nyumbani hawajala.
utamkodia pikipiki, ila mkeo daladala
utampeleka denimaki, kama mtoto wa kajala.
mwisho...
siku ya jumapili, maskani niliketi.
kwa macho yangu mawili, nikifanya utafiti.
akapita kimwali,tena alikua fiti.
alikua pisi kali, rangi yake chokoleti.
sifa anastahili, yuko vizuri pale kati.
ilikua sinza mori, kumbe anasaka noti.
tena wala hajali, tena amejikoki.
asofanya ya halali, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.