Habari wakuu wa MMU,
Vijana wa MMU mnatumiaje muda wenu mbali na kushinda humu MMU kujadili mambo ya mapenzi?
Kuna maisha mengine mbali na kishinda humu wakuu. Haiwezekani 24/7 uko huku unapiga soga tu muda wote hata haufikirii mambo ya msingi. Kama wewe ni mwanafunzi, je huwa unasoma muda...
Asalam aleykum wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ni kwamba Rais wetu mtukufu yafaa aendelee kutawala au kuwepo madarakani mpaka atakapochoka yeye mwenyewe kwa sababu ni Rais ambaye ni mzalendo wa nchi yake.
Ili tuweze kumfaidi Rais wetu mtukufu kwa uzalendo wake na...
Habari za jioni wakuu.
Kama mada inavyojieleza hapo juu. Nahitaji kukopeshwa hela ninunue bajaji ili ipige kazi hapa mjini(Dar es salaam).Nitapambana kila mwezi niwe narudisha laki 600,000/-, Hivyo ndani ya mwaka mmoja nitakuwa nimemaliza deni lote.
Katika machakato wa kupambana kurejesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.