Haijawahi kutokea hiyo kitu mkuu.
Labda cohort gani walifaulu mpaka watu wakalalamika?
Jaribu kufuatilia hali ya wanafunzi wa Udsm kule law school hautanibishia aisee.
Nakumbuka cohort ya 23 nilikutana na mwanafunzi wa udsm ni bonge la kilaza maana kuna scenario Fulani nilimpa then...
Wewe ndiyo utulie na ukae pembeni maana hujui unachokiandika mkuu.
Wakiingia hata ishirini kwa intake moja hao ni wengi kulingana na idadi ya chuo walikutoka.
Kati ya hao ishirini walioingia wakatoka watano first sitting wengine wakapata sup huwezi kusema wamefaulu hata siku moja.
Tunaangalia...
Soma kitu ambacho kitakusaidia kujiajiri mkuu.
Mfano ukisoma law na ukawa wakili muhuri wako ni ajira tosha.
Ila human resources management sijui utajiajiri vipi kutokana na ukichokisimea.
-Kwa sababu ndiyo wenye akili ndogo hivyo ni rahisi sana kudanganyika.
-Wanapenda shortcuts sana wanashindwa kuelewa kuwa there are no shortcuts to good life.
- Wadada wengi ni waoga wa maisha sana ndiyo maana hata wanapenda kuhongwa sana. Unaweza muuliza MISS CHAGGA.
Ulijuaje?
Halafu kwanini unaingia kwenye mitandao kuangalia mshine za watu? Lengo lako ni nini hasa?
Pia inakuwaje unasifia mashine za wanaume wenzako?
Au wewe ni wale wale?
Nasubiri majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.