Maralia imekupanda wewe,hiyo Nccr ya mwenyekiti Mbatia kuwadi mkuu wa CCM imkomboe nani?Ukombozi wa Mtanzania ni mtanzania mwenyewe akiamua kujikomboa ataweza kwa kuachana na siasa za maji taka za CCM Pamoja na washiriki wenzake Cuf,NCCR,TLP,UDP!.
Huyo Sita hafai kuwa rais mana katika jimbo lake 2 la Urambo mashariki hakuna lolote alilofanya,Urambo ni wilaya maskini kupita kiasi,amekuwa Mbunge kwa vipindi tofauti, mpaka leo ameweza kuwa Mbunge kwa miaka 22 kwanzia mwaka 74 mpaka 95 jimbo likaenda upinzani kwa miaka 5,2000 akachukua...
Wewe tahira mkubwa unayewaza kwa kutumia makamasi badala ya ubongo akili umefungia kabatini,serikali yako legelege ya CCM ndiyo inayosababisha haya kwa kuwalipa kidogo wataalamu harafu wao wakifisadi kila siku mali za watanzania.
Kugoma wanaruhusiwa kwa masaa kadhaa,then wanafanya kazi,harafu wanagoma tena kwa masaa kadhaa kama sita hivi1 serikali hi ya kifisadi ya CCM iache usanii na usharobalo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.