Search results

  1. Joseph Brighton Malekela

    Wahitimu wa elimu ya juu Tanzania na kitendawili cha kujiajiri

    Asante sana. Tafadhali upigie kura sehemu ya Uzi wangu huu kwenye shindano la stories of change kupitia SoC 2022 - Uanzishwe mfuko wa kuwawezesha kiuchumi wahitimu wa elimu ya juu ili kuwasaidia kutegua kitendawili cha kujiajiri Natanguliza shukran.
  2. Joseph Brighton Malekela

    Wahitimu wa elimu ya juu Tanzania na kitendawili cha kujiajiri

    Asante sana. Tafadhali upigie kura sehemu ya Uzi wangu huu kwenye shindano la stories of change kupitia SoC 2022 - Uanzishwe mfuko wa kuwawezesha kiuchumi wahitimu wa elimu ya juu ili kuwasaidia kutegua kitendawili cha kujiajiri Natanguliza shukran.
  3. Joseph Brighton Malekela

    SoC02 Uanzishwe mfuko wa kuwawezesha kiuchumi Wahitimu wa Elimu ya Juu ili kuwasaidia kutegua kitendawili cha kujiajiri

    Nimejaribu kujielimisha kidogo kama kuna ugumu wowote kwa wahitimu wa elimu ya juu kujiajiri. Nimejifunza kwamba, vikwazo vikubwa kwa wahitimu kuhusu kujiajiri ni mfumo wa elimu kutokuwajengea tabia ya kujiajili, pamoja na changamoto ya kupata mitaji ya kujiajiri. Wahitimu wa elimu ya juu...
  4. Joseph Brighton Malekela

    Wahitimu wa elimu ya juu Tanzania na kitendawili cha kujiajiri

    Miaka ya hivi karibuni, kumeibuka tabia ya kulalamika katika jamii ambapo kundi moja hunyoosha vidole na kutupa lawama kwa kundi jingine juu ya utekelezwaji ama ufanisi wa wajibu wake. Kimsingi, Kulalamika ni haki ya raia, na kulalamikiwa ni haki ya kiongozi yeyote yule. Kati ya mambo mengi...
  5. Joseph Brighton Malekela

    Wahitimu wa elimu ya juu Tanzania na kitendawili cha kujiajiri

    Na; Joseph Malekela, Dar es Salaam, Tanzania - Mei, 2022. Miaka ya hivi karibuni, kumeibuka tabia ya kulalamika katika jamii ambapo kundi moja hunyoosha vidole na kutupa lawama kwa kundi jingine juu ya utekelezwaji ama ufanisi wa wajibu wake. Kimsingi, Kulalamika ni haki ya raia, na...
Back
Top Bottom