Naomba kujua ni application gani nzuri naweza kutumia katika simu kurusha matukio katika youtube channel yangu,
na naomba kujua ni simu nzuri inayoweza kutoa video HD ni yenye uwezo gani ninapokuwa nafanya Live Streaming ya tukio lolote lile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeikuta mahali..
"Nimeshakwambia Nakupenda na pia nahitaji kuwa na wewe kama Mpenzi Wangu, Kwanini Hautaki Kunielewa Jamani!!! au ndio mpaka unitese mwenzako siku zote tazama Miezi na Miaka inapita sasa..."
Please Please amini ninachokwambia NAKUPENDA SANA na nahitaji uwe MKE wangu na NURU...
Nakumbuka maneno ya kjana wangu aliyoniambia tukiwa tumeketi wote katika mgahawa fulani, aliniambia Edson ninakwambia kitu kikubwa sana kitu kilichonitokea jana lakini alianza kwa kusema;
"In the Battle of LOVE and FEAR, Fear always wins....." Exaud alisema
Nikakaa nikamwangalia kwa mbali...
Naomba kujua jinsi ya kupata Unlimited Bando kwa matumizi ya Ofisini, kutoka kwenye kampuni za simu iwe Tigo, TTCL, Voda, Airtel, Halotel etc ila iwe na kasi ya 4G au 3G.
Bando liwe ni la mwezi au wiki na naomba na gharama zake kama unafahamu kampuni zinazotoa huduma hii....
THE SNIPER.
Nilivyoachana na msichana wangu wa kwanza Jan 2014, nilitaka niwe free na nisijihusishe na mapenzi tena mpaka pale akili yangu itakapo kaa sawa.
Hii ni kwasababu kipindi tunaachana nilipanic sana na may be kwa sababu sikutegemea jambo hilo lingetokea kabsa. Nikajitahidi kumtoa katika fikira...
MAISHA NA MAAJABU YAKE[emoji116][emoji116
Usishangae
Mmiliki wa kampuni ya Tecno anatumia iPhone [emoji16]
Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme [emoji16]
Meneja wa kiwanda cha soda anakunywa bia [emoji16]
Aliyegundua pesa alikufa na madeni [emoji16]
Wachina wanatengeneza dawa...
Evarist Evarist!! Evarist!! Sauti iliyoambatana na upepo mkali na uliovuma maeneo ya Mbezi ilisikika toka kwa Mama yangu ikiniita kupokea simu yangu iliyokuwa inaita chumbani.
Kuangalia ni namba nje (Tigo) iliyokuwa inaonekana katika screen ya simu, kwa mbali wimbo wa Diamond ndo ulisikika toka...
Ninapoandika huu Uzi inawezekana yeye yupo katika hali ya kawaida kabsa lakini ajue ya kwamba kuna mtu ambaye anampenda na anatamani awe Nuru itakayomulika Maisha yake.
Kweli huyu mtu nmempenda tena sana na ninatamani one day ndo awe Nuru yangu na karibu yangu, lakini inawezekana Distance ya...
Ilipita miaka, miezi, wiki, siku na yakabaki masaa machache ya kufanya Jaribio langu la kwanza kwa huyu mtu, na nilitaka kizazi kikumbuke tukio hili la kishujaa nitakalofanya. Nikakumbuka maneno ya mtaalamu "The Bold" aliyoyasema katika simulizi yake moja kali inayotrend @JIntellegence..
"For...
1. Blogs and Websites
Moja kati ya vitu vinavyowapa pesa watu katika mitandao ni pamoja na kuanzisha blogs na websites ambazo zitakufanya kutoa Taarifa/Habari mablimbali na watu kuziangalia mara kwa mara. Mtu anayeanza atatakiwa kuwa na mtaji kidogo kama wa Laki2-5
Kwa mfano: kuwa na...
Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF, Prof Lipumba ameagiza kamati ya maadili ya chama kumchunguza na ikiwezekana kumuhoji katibu mkuu wa chama cha CUF mheshimiwa Maalim Seif kutokana na mambo anayoyafanya ya kwenda tofauti na chama chao.
Pia Prof Lipumba amewataka wabunge wote wa CUF kuungana...
Mbunge wa jimbo la Mbozi Mbeya, mheshimiwa Pascal Haonga (CHADEMA-Chama cha Demokrasia na Maendeleo) amesema kwamba miradi inayopangwa kwa ajili ya maendeleo katika majimbo yote nchini hasa ya upinzani sio jambo la Hisani ni jambo la lazima na hivyo serikali inapaswa kupeleka maendeleo katika...
Hakielimu bado walikuwa na masimamo wao wa kuishauri serikali kupanga njia bora ya kumsaidia mwanafunzi wa kike pindi anapojifungua ili aendelee na shule kama kawaida lakini hili tangazo lao zinalosambaa sasa walilitoa lini?ambalo walitaka wanafunzi wa kike wajawazito wasaidie kuendelea kusoma...
Siku mbili tangu kuuawa kwa polisi wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani ambao walikuwa kazini katika Kijiji cha Bungu B, hali ya wasiwasi imezidi baada ya wauaji hao kusambaza ujumbe unaoeleza kuwa wanaendelea kusaka askari kwa kuwa ni wadhurumaji.
Watu hao wametuma ujumbe mfupi uliondikwa...
Kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kwamba kinalidhishwa na utendaji kazi wa Rais Magufuli na kumpongeza jwa kazi yake nzuri.
Pia wamempongeza Rais kwa ishu ya makinikia na kutaka siasa isiingingwe katika majadiliano na Acacia.
Wamekumbushia riporti ya LUGUMI kupelekwa tena bungeni na...
Picha alizoweka msanii Wema Sepetu zimekuwa gumzo mtandaoni Instagram baada ya kuzipost katika Account yake.
Sema dah nimeangalia hizi picha kama 6 au zaidi na nimemuelewa huyu kada wa CHADEMA.
Duh hatari sana.
Mwigizaji wa bongo Movie, Yusuph mlela ameendelea kusisitiza kwamba hana bifu lolote na mwimbaji Ney wa Mitego na kwamba aliamua kumchana kipindi kile kwa sababu aliingilia kazi zao bongo muvi.
Sisi tuliandamana ili kuweka maslahi sawa na wengine lakini yeye akaanza kuongea mambo yake yasiyo na...
Akiongea na waandishi wa habari Meya wa Ubungo Mheshimiwa Boniphace Jacob amesema kwamba ameachiwa huru kabisa bila masharti yoyote na kwamba alivyokamatwa ilikuwa ni siasa tu.
Nilikamatwa na polisi baada ya viongozi mbalimbali toka chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kunitembelea...
Mbunge wa jimbo la Kibamba, Mheshimiwa John Mnyika amesema kwamba kwa pamoja na kutolewa bunheni na maaskari lakini wanatakiwa kujua kuhusu ukweli wa posho zao.
Mnyika amesema kwamba posho za askari zilizopitishwa kwenye Bunge ni laki1.5 (150,000) lakini mpaka leo polisi wanalipwa laki1 tu pekee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.