Mkuu, nimesomea general agriculture Mati tumbi. Nipo vizuri sana kwenye kuku na nguruwe sababu nina uzoefu.
Kama tukakubaliana katika mshahara hutojuta kuniajiri.
Mkuu
Si kweli Inawezekana huko huko mkoani, mm wakati nipo kijijini nilikuwa na best friend wa kiume alikuwa baunsa Sana sasa akawa rafiki yangu na wale rafiki zake wakawa rafiki zangu, kwa kweli nilikuwa na protection ya kutosha and I was so happy, mpaka siku yakuondoka kwenda mjini duh...
Inawezekana sana, mm nina best friend yangu mwanaume for 6 years huwa tunashauriana mengi, najua relationship zake anajua yangu. Mpaka cjawah kuwa na girlfriends. So nakubali 100%
Pumbavu wewe Malaya mwenyewe. Tuheshimiane nguruwe pori wewe kila mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake. Wewe ungekuwa bikira Maria ungekuwa kanisani unasali. Kwa hiyo avatar yako tu u are worse than her. Stupid
Wengi wenu mmekimbilia kumhukumu bila kujua challenges alizozipitia au anazozipitia katika ndoa yake mpaka anaomba talaka na mwanaume hapo hapo anakataa kuna kitu yawezekana mume hajali chochote hata mwanamke alale na wanaume 5. Hivi wewe mwanaume mkeo awe na michepuko miwili usinotice kitu...
Hahahaha cyo povu mkuu ndio ukweli wenyewe laiti wangechukulia kawaida watu wasingeuana. Mbona wazee wa zamani walikuwa na mwanamke zaidi ya mmoja lakini hawakuwa wanauana?? Au wanawake wa zamani hawakuwa wanapenda??? Tatizo ni umimi.
Hapo hakuna upendo ni ubinafsi unawasumbua
Tatizo wenye ndoa wanajiona wao ndio wamepatia kwa kuolewa na kujifanya wanaumiliki wa mwanaume zaidi hata ya Mungu. Nyie wadada mlioolewa kwann mna ubinafsi hivyo??? Wakati Mungu alivyokuwa anawapa nguvu akina Ibrahim na Suleiman kuwa na wanawake wengi hakuwa anaona???
Wanaume wenyewe wachache...
Followers wake wengi ni vilaza msijipe matumaini eti wapo 1.1m sasa mtu eti anamtumia Dada mange huku Arusha exams za mock form hazijasahihishwa kweli jamani??Mange huwa hapewi information yoyote anachokifanya anasoma magazet yote then anacreate caption zake hapo baadhi ya mabogus wanamuona wa...
Mm mwenzenu huyo Mange alishaniblock mara 4 na mafekero yangu ya instagram. Mambo huwa anajiandikia mwenyewe whatsap then anasahau anapost hivyo hivyo ikiwa green ukimwambia anafuta faster then anakupa block
Mwambie "Babe do u know the meaning of https://jamii.app/JFUserGuide in a relationship??? It means Feeling for U Can make me Kiss u anywhere. Ifanye iwe kama jokes mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.