Maandamano ya amani sana yatakuwepo kila mkoa kila kijiji kila kitongoji kila jiji. Tuone kaw watawaua wote.
Hapo tutajua nanianachezea amani ya nchi hii.Ni watawala ama nyama mbadala. Kuanzia leo sitasema upinzani.
Kama maprofesa wanaweza kunyamazia upuuzi na kubakia kusifia kwa ajili ya mishahara na kama Polepole anaweza kununua watu pamoja na
elimu yake na ethics anazojidai nazo unategemeaje madiwani wasio na mishahara waziache hizo pesa. Hata chadema wangekuwa na pesa na ujinga huo wa ccm wangeweza pia...
Kuna tofauti kati ya heshima na kuabudu.
Wakina Bashite na Mnyeti wanataka watu wote wabatizwe ccm hata ambao hatuna vyama kama mimi na wote tuimbe ndiyo ndiyo hata wakinunua watu ama kuiba kura eti kwa kuwa hiyo ni chama tawala.
To respond to this is an insult to me because we have more rude gov leaders than wapinzani. I would wish all gov leaders were as intelligent as Samia Suluhu and a few others.
Many of them are shitholes!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.