Yes mkuu,ukiwa na private car ni safi zaidi,unaweza tembelea na familia au marafiki,ingilia Botswana thr kazungula OSBP,lala pale Kasane na ujionee tembo/swala/warthog mitaani (relax wana corridors zao na elewa in Botswana animals ana right of the way),next drive to Nata ,kata kulia pale nenda...
Tena bila hata ya kutegemea serikali kuu,wilaya itabakiwa na mbunge mmoja tu(sio 3),mbunge huyu atapewa ziara ya kuitangaza wilaya hii ujerumani na Switzerland 🇨🇭,kitu cha kwanza ni kuitengeneza ile pass kwa juhudi za wananchi na kuongea na jiji la Capetown wapeleke wataalamu wa kujenga hizi...
Ujinga sio tusi wala upumbavu pia (pitia kamusi ya kiswahili),nimekuelewa na sasa utakubaliana Nami kuwa mbunge mtarajiwa anapoahidi kuwa atajenga ile pass ya mombo to mlalo ikiwa atapewa kura kuwa huu ni uongo?,na ubunge wake unaweza kuwa batili maana ametumia mbinu za uongo kupata kura,mkuu...
Tuache blah blah mkuu,tuongee facts hapa,mbunge anapofanya kampeni za kuwa mbunge na kuahidi atajenga zahanati hapo Mlalo,means anaongopa!na mtu mwongo ni zaidi ya shetani,mkuu labda nikupe historia ndogo,ukitembelea Magomeni na kinondoni A kuna nyumba zilijengwa kwa sheria za mipango miji chini...
Ni shida mkuu,na barabara hiyo kuanzia kazungula OSBP hadi Nata ni national park (more than 300km)hukuti matuta ya ajabu,kwetu pale mikumi national park (50km ni vurugu tupu na kwa sasa magari kibao yanapata pacha kwenye like handaki)siku V8 ya wateule itakapoumia pale ndio watakurupuka kuitengeneza
Mkuu tembelea Namibia 🇳🇦 na Botswana 🇧🇼 kupo super,A3 yao ni super pamoja kuwa inapita kwenye national park (more than 300km za mbugani tu),pale mikumi national park (50km kuna matuta yasiyopungua 40!!na wanaopita pale hasa usiku pls guys kuwa careful,kuna handaki pale linaumiza magari kila siku...
Lushoto ilitakiwa iwe ni Switzerland 🇨🇭 ya Tanzania,nilibahatika kufika kule last December,Mwenyezi Mungu kawapa super wilaya ila wale wabunge wake 3 ni zeros kabisa,yaani hawawezi kujenga hata ile barabara ya mombo to mlalo,yaani barabara ipo vile vile alivyoiacha mjerumani,ilitakiwa ile pass...
Una mimba ya Chadema ?pitia huku lingusenguse nikupatie ulanzi ,hii sio rocket science,mafuriko ya bonde la mkwajuni limesababishwa na serikali ya ccm kuruhusu royal families kujenga kule mikokoni ni kuingilia uasili wa mkondo wa maji kwa mto wa msimbazi
Na muhimu elewa my kamanda kuwa ni haki yangu kupewa crime statistics za mkoa wangu kila baada ya 90 day's na hajawahi kufanya hili,siku upepo ukibadilika mahakama itakuhusu
Blah blah tu hii,Mr. Muliro unaweza pia ukaileta Doctor report kwa public kuhusiana na kifo hiki?,postmortem pathology report?,na pia mortuary ya kilwa rd (iliyochini ya police)na why sip ya muhimbili hospital?,ipo siku ukweli utakuja kusimama na kila mtu ana siku yake ya kuonana na maker...
Mihuri inayo gangway na serikali za mitaa ni kwa ajili gani?why ukagongewe mhuri kule?kwani ID yako ipo wapi?mahitaji yote unayo yahitaji unatakiwa uwe na ID basi,elewa ID ndio maisha yako
Mtoa hoja tafuta fedha,nani kakupa wewe haki ya kuhukumu?,mtu tako lake kapewa na muumba wake,anavyolitumia ni haki yake!,una uhakika wewe ni straight?
Wanaheshimu sheria zao,huwezi kumtaja jina mpaka apande kwa court,elewa bado ni suspect,haki zake bado zipo intact,Ile nchi ya kufikirika majina yao yangetangazwa kabla ya kupanda kizimbani!huu ni upumbavu
Fair enough ungeazia na real owners wa UDA na Nyati cross borders transporters,na pia lile hekalu pale msoga,yule mpangaji mkuu alilijenga kwa mapato yake halali au kodi yangu ilikua pitched,Tanzania lazima iendeshwe kisheria,ulivyoelezea hapo juu ndio Serikali ya ccm inavyofanya,tayari hukumu...
Wewe ni pumbavu mkubwa,soma comment kwanza ili uielewe,DPP atapeleka mashitaka gani mahakamani bila ya police kuchunguza na yeye DPP ku apply mind ili kuona ana winnable case?,tatizo la nchi hii imejaa wapumbavu wengi kama wewe ambaye umeshaona ni sawa kuishi ndani ya draconian rules
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.