Unashangaa nini. Ccm si ndiyo wamempa Uenyekiti wa Bunge? Kuna kum support zaidi ya hapo? Kuna kumuamini zaidi ya kumpa uongozi wa juu katika chombo cha kutunga sheria, kuishauri na kuisimamia serikali?
Tutarajie nini.
Nakupongeza kwa kuyajua mambo ya wazungu in and out.
Ulikuwa wapi kuishauri serikali yako tangu matatizo haya yaanze au ndiyo umejua baada ya tume ya rais.
The opposite seems to be true. Umesahau kwamba serikali ilizuia? Ukitaka kuwa mwongo lazima uwe na akili sana. Ukigundua huna akili za kutosha usiseme uwongo.
Hujui usemalo. Tangu lini wabunge wakajenga Barabara?
Serikali kuu na mamlaka za serikali za mitaa ndio wenye majukumu hayo. Au unaogopa kuilaumu serikali yako. Usipojenga hoja zenye mashiko, usitarajie mabadiliko.
You are milking a bull.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.