Madawa ya kulevya yanaangamiza watoto wetu.
Hata mimi niliangalia, je, mada ya jana madawa ya kulevya kuendelea kuangamiza vijana wetu, nini kifanyike? AWEDA alimwuliza Nzowa kuwa wewe unatuhumiwa kubambika kesi ya mtoto wa Mengi je, jibu hoja. Yule dada alitaka kumsaidia tu Nzowa. Ukweli swali...
Kwa jinsi ulivyochambua it is very possible. Inawezekana kabisa, dogo amekaa sana na JK ikulu kama mwandishi wake. Hawezi kujitofautisha na mlezi wake. Like father like son - hujui.
Wanajamvi, hopefully you are all fine.
Kama kichwa kinavyojieleza vizuri, nataka nianzishe chuo ambacho kazi ya kuwaelimisha wanafunzi waliofeli elimu ya kidato cha nne (siyo zero but div 4 yo yote) ili waweze kutimiza ndoto zao.
Chuo hicho nafikiri nikisajili ama VETA au NACTE. Ndo maana...
Wakuu kuna tetesi nimezipata kisha nikaunganisha dot zangu nami nikaona kuna kaukweli.
Kuna kigogo mmoja wa ccm kaniambia kuwa Zitto anaweza kufukuzwa ubunge kwa mpango maalum uliosukwa na watu kadhaa akiwepo Kikwete, Makinda,Kabwe Zitto na wengineo.
Lengo lao ni kumjenga tena Zitto awe...
Hiyo hoja Kikwete atampigia Madam Speaker ili ipite, ili jamaa aendelee kuongeza umaarufu. Wakumbuka sakata la Kuwa m/kiti wa Mashirika ya Umma? Jk aliweka mkono wake. Lengo Jk anataka Zitto amrithi Mbowe.
Wadau,
Leo nimesoma makala kurasa za mwisho mwisho ktk gazeti la Rai la wiki iliypita ( siyo la jana) kuwa kuna mjadala wa kichini chini kwamba bunge lisioneshwa live ili kupunguza aibu ya serikali inayotokana na wapinzani haswa CHADEMA. Ieleweke kuwa mwandishi wa makala naye ameliweka kama...
Unataka Chadema wamwachie pombe mlevi? Si heri wakapeleke kujenga chadema majimboni mwao kwa faida ya watanzania kuliko kuwaachia CCM ambao wenyewe wamekiri kuwa chama chao kimejaa mafisadi na jk akasema kina magamba.
Chadema do not deal with pety issues. They deal with national policy. Wachukue wasichukue, it does not make any difference. They want posho zote ziondolewe kwa watumishi wa umma, si wabunge tu kama sera. Hizo posho zao wakiacha zitasaidia nini? Acheni kujifanya hamnzazo.
Mbona list ya viongozi wote niliyotumiwa na rafiki yangu jana jina la mwita Maranya sijaliona. Maranya aache uwoga atuambie yeye aligombea uongozi kwa jina gani? Jina la Aweda nililiona na nimesikia ameshinda kwa karibu 80% dhidi ya mkiti wa Zamani. Kama wewe ni mwoga hivyo utaweza mapambano ya...
Habari za uhakika zilitufikia leo ni kwamba uchaguzi wa jimbo la Ukonga uliokuwa na mvutano mkubwa kati ya baadhi ya wagombea na uliopangwa kufanyika jumapili ya 31/07/2011 UMEAHIRISHWA KWA WIKI MBILI.
Imesemekana kuwa sababu ya kuahirisha ni pamoja na kuboresha maandalizi ya uchaguzi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.