wangewakodisha ze komedi kama kaka yao jk.nape anaongea kwa nguvu mpaka meno yanatoka jasho.0784403279.pia nape arudishe pesa za epa haraka.mishahara miwili nao ni ufisadi pia
Nimeambiwa ccm wamekopa pesa bank kwaajili ya kuwalipa watu wa kwenda kwenye mkutano.hivyo nawashauri wananchi wazichangamkie hizo pesa za nguvu.ni nape katuma kupitia account ya mwenyekiti wa ccm mkoa na waziri nchimbi.chadema inatisha
Huyu dogo anatumiwa na kikundi cha mafisadi kukemea ufisadi.ndiyo maana hata mikutano yake imekosa mvuto,mimi namshauri nape arudi kwa mafisadi aombe pesa ya kuhonga wananchi ili aweze kujaza mikutano yake kama alivyokuwa akifanya jk wakati wa kampeni kubeba watu kuja kusikiliza usanii wake.pia...
Ukiangalia mikutano ya chadema na ile ya nape na wapambe wake,utajua kuwa ccm kimekosa mvuto kwa wananchi kwa idadi yao ukiwahesabu hata huwezi kumaliza vidole,.namshauri nape atafute pesa za kuhonga wananchi waje kumsikiliza porojo zake na mwigula wake.pia tunamtaka nape arudishe kadi ya chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.