Habarini wna JF ni matumaini yangu nyote ni wazima wa afya tele, ningependa ku share hii experience wakati nikiendelea kuishi kwa hofu sana baada ya kukutana na mdada ambae ni muathirika baada ya kumpima.
Story iko hivi nilikutana na mdada sehemu akiwa na rafiki yangu pamoja pia na dem wa...
Habarini ndugu zangu,
Kuna tangazo la ajira la Redpath mining contractor kila nikilitazama kwa marakadhaa linanipa ukakasi pia ukiongeza na ile email yao ya ajira ya Gmail nashindwa kuwaelewa kwa alie Sengerema au mgodini hapo nyanzaga tunaomba utoe neno lolote kama kuna ukweli.
Asante...
Habarini wana jf nimatumaini yangu mu wazima nimeona niingilie huu uzi maana namm nina tatizo la infection kwenye sikio.
Lilianza nikiwa Dar nikaenda pale Ekenywa akanicheki dr akaniambia inabidi ni hudhurie clinic pale kwa week sita ikianza siku niliyo enda sasa shida ikaja mm nashughuli zangu...
Habarini sana jamvi!!
Nilikua naomba ushauri kuhusu afya yangu week kama moja ilo pita nimeugua malaria,typhoid,minyoo,brucella na nilikua nimemaliza dozi ya ghono.
Nimetumia Madawa nikaribu nayamaliza ila bado mwili wangu umechoka choka viungo vya mkono na miguu vinachoka usingizi unakua wa...
Habarini za muda sana jf ni matumaini yangu mko salama!! Nilikua Nina shida katika mwili wangu ambalo limenipelekea kuwaza sana. Natatizo au matatizo yenyewe nihaya nahitaji ufumbuzi kidogo.
Nilikuwa na girlfriend baada ya kukutana kimaumbile baada ya muda kama week nilianza kujihisi kwenye...
Habari wana jamvi nimatumaini yangu nyote mu wazima.
Mimi nikijana umri miaka 25 natafuta kazi au kibarua cha muda katika kada ya umeme au nje ya umeme naweza kufanya kazi sehemu yoyote lakini kwa sasa niko Dar es salaam.
Nina ordinary diploma katika umeme (OD in electrical engineering )...
Habari zenu ndugu zangu poleni na majukumu nilikua naomba kufahamu interview za written zinakuaje utumishi upande wa electrical technician ikiwezekana na baadhi ya maswali ambayo huulizwa natanguliza shukurani.
HABARINI WANAJAMVI HUSIKA NA UZI UNAVYO SEMA NILIKUA NAOMBA AMBAYE AMESHAWAHI FANYA INTERVIEW ZA TANESCO UPANDE WA ELECTRICAL TECHNICIAN KAMA ANA PAST PAPERS ANISAIDIE NATANGULIZA SHUKURANI WAKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.