Tukisema tunaonekana wazushi, ila ukweli utabaki kuwa teuzi za magufuli zipo biased sana.
Kwa mwendo huu anazalisha jipu ambalo litatuweka pabaya kama taifa.
Tumesema na hatutochoka kusema hili.
Pole sana, kwanza ondoa hofu, I miaka 4 sio mingi, hasa kama utaishi maisha yako wewe na mkeo bila kuruhusu ndugu/marafiki kuwaingilia.
Nime pitia katika hali kama yako, na japo ina tofauti kidogo, namshukuru Mwenyezi Mungu sikuwapa ndugu/marafiki nafasi la sivyo ningekuwa na hali mbaya...
Waache wanao shangilia waje kuisoma namba. Hawajui kuwa sukari tunayo zalisha haikidhi mahitaji na hivyo bei itapanda.
Wana sahau wafanya biashara wetu huwa wanaficha sukari ili bei iwe juu.
Huu ulimwengu wa soko huria, kwanini was iache iingizwe ili kuwe na ushindani?
Yangu macho.
Magufuli mwenyewe ni jipu, ali tuambia Mv Dar es Salaam inge fanya kazi na kusaidia usafiri kati ya Dar na Bagamoyo.
Iko wapi mpaka leo?
Ikiwa inatumia masaa 3 mpaka Bagamoyo wakati boti za Azam inatumia chini ya masaa 2 kufika Zanzibar, hapo hakuna jipu???
Mashaalah majibu mazuri yenye kujitosheleza.
Mleta Mada naamini ukweli ana ujua vizuri, hakuna mtu yoyote anae fuatilia siasa za Tanzania vizuri halafu asijue ukweli kuhusu bakwata.
Bakwata wapo kwaajili ya serekali na kwa maslahi ya serekali wala hawana msaada kwa waislam na kamwe hawa...
Umechukua hatua stahiki kulinda ndoa yako, huo ndio uanaume.
Nashukuru Mwenyezi Mungu wife Kakataa kufanya kazi mwenyewe, japo mwanzo siku kubaliana nae sana ila sasahivi nime muelewa vizuri kabisa
Paka kwenye nguo na sio kwenye ngozi kwasababu harufu tu inafukuza mbu kwahiyo sio lazima kupaka kwenye ngozi.
Sina imani nazo japo nime wahi kuzitumia mara kadhaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.